Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Simba mnapata wapi ujasiri wa kushangilia matuta jamani, tena matuta na singida?!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mechi kwa wazi kabisa Singida walistahiri kupita
Malalamiko ya Robertinho bado unayasikia huko? Au mjadala ni matuta?Zile stori za kwamba Simba inamuacha Salim na kumuuza Kakolanya bado zinajadiliwa huko?
Au mjadala ni refa?
Kwa timu hii iliyobebwa na Madam mkaenda matuta?Utopolo mlikuwa mnaomba sana msikutane na sisi ee? Sasa andaen via vyenu vya uzazi.. tunakuja kuwaingilia kimwili.
Na lile timu la jana bovu vile mlikutana na waoka mikate waliojichokeaSawa, njoeni jumapili tuwatie mimba chapchap. Kuzaa na sisi sio shida, shida ni mchakato mgumu utakaoupitia mpaka unazaa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hauna ladha kama timu ilikuwa haicheziUshindi hauna ladha wala mvuto....Simba ijipange aisee.
Limeahakua tena kombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila kinachoitwa kombe lazima tukibebe.
Hata wewe unayebisha ukijiita kombe tunakubeba
mbumbumbu fcNa mlipenda ipite maana mnaogopa moto atakaoupeleka kwa Utopolo Jumapili lakini bahati haijawa yenu mnyama uso kwa uso na Utopolo Jumapili.
Unawajengea uwezo vipi bila kuaminiwa team kubwa, huo uzoefu wataupata wapi?Wajengeeni kwanza uwezo hao wazawa ndio muwape timu zenu
Hivi hamjaumbwa hata na mshipa wa aibu? Mbeleko yote hii bado mnajisifuZile stori za kwamba Simba inamuacha Salim na kumuuza Kakolanya bado zinajadiliwa huko?
Au mjadala ni refa?
Matuta hata wewe unayaoteaZile stori za kwamba Simba inamuacha Salim na kumuuza Kakolanya bado zinajadiliwa huko?
Au mjadala ni refa?
Tunazungumzia msimu huuKwani msimu uliopita ulianza na nani au ulikuwa huko Mchambawima?
Singida wamesajili, wanawachezaji wazuri daraja la simba tuu, kama kule anadaka kakolanya huku Ally salim sasa kunatofauti ganiSimba mnapata wapi ujasiri wa kushangilia matuta jamani, tena matuta na singida?!!!!
Ukilia na chumvi mbona fresh tuHuu ushindi hauna ladha....
Msimu uliopita ilishindikana nini?Tunazungumzia msimu huu
Hauwezi kupata timu kubwa kabla ya kuanzia timu ndogo.Unawajengea uwezo vipi bila kuaminiwa team kubwa, huo uzoefu wataupata wapi?
Simba na TANGA?Tatizo sio refa...
Fainali lazima iwe Simba na Tanga kwa sababu za kibiashara