chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,531
- 2,912
Sio mabeki tu, hata Kocha hawana..!Azam hamna mabeki....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mabeki tu, hata Kocha hawana..!Azam hamna mabeki....
Yanga wamecheza vzr, ni pengo la mayele tu ndo linaonekana la kuziba.Jamaa akilenga goli vizuri kutikisa nyavu ni uhakika.
Hii Azam imeimbwa sana ila bado.....
Mtani nakukatalia. Mtakuja kuikimbia hii kimataifa 😂Waliongea yote wakamaliza. Wakasahau kubakiza akiba...
Yanga hii ni zaidi ya msimu uliopita mtapata tabu sana...
Hatubakishi kombe
#Since 1935 💛💚
He has PROVED HIS FAILURE [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Masikini Feisal.....[emoji17][emoji17][emoji17]
Tumewapiga kama ngoma Mkuu.
Mbili za chap. 🤣🤣
Ayeeeeee Sisi ndio yangaa[emoji172][emoji172][emoji172]Tumewapiga kama ngoma Mkuu.
Mbili za chap. [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣PIGA HAOOOOOOOOOO [emoji169][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji172] GO AHEAD YANGAAAAAAA
Zimelala mbereee KWA SAUTI YA LEGEND MAGUFULIzile mbuzi ziko wapi? njooni tena mbuzi weusi nyie.
yaan mtu wa simba unaogopa kukutana na simbaSifurahii huu ushindi nina hofu sana na kukutana na simba
Urojo una virutubisho vingi sana! 😁😁😁🏃🏿♂️Na mimi nimeshangaa, dogo anakuwa bonge hapa hapa bongo wakati Miquessonne kuwa bonge ilibidi hadi aende kwa waarabu
ngedere hawezi amini kwamba asali ni tamu kuliko ndizi.Waliongea yote wakamaliza. Wakasahau kubakiza akiba...
Yanga hii ni zaidi ya msimu uliopita mtapata tabu sana...
Hatubakishi kombe
#Since 1935 [emoji169][emoji172]
Kabisa kabisaa. 💚💛💚💛Ayeeeeee Sisi ndio yangaa[emoji172][emoji172][emoji172]
Nakazia mkazo XXLAzam ni ileile
Mtani nakukatalia. Mtakuja kuikimbia hii kimataifa 😂