Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Na ole wao kesho watukimbie. 😅😅Hahahaa Safi Sana , makolo wameumia kuliko Azam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ole wao kesho watukimbie. 😅😅Hahahaa Safi Sana , makolo wameumia kuliko Azam.
Tena hii yenye no 6 anayecheza dk 7 tu uwanjani[emoji3][emoji3]Naionea huruma timu itayokwenda kukutana na Mnyama
Kama wale wa uwanjani. 😅😅Zimelala mbereee KWA SAUTI YA LEGEND MAGUFULI
💚💛💚💛💚💛Ushindi kwetu ni lazima. Kuna Yanga moja tu duniani 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Basi niko na argue na kiazi hapa. Bye!Mkuu nina mashaka na uelewa wako we ye mpira. Sijaelewa point yako ni ipi hapa, kwani Azizi Ki hajawahi kuanza alaf akawa anazingua uwanjani?.
Timu inapangwa kulingana na performance ya wachezaji, na sio tu majina
Atakuja na yule wakumuita mnyama nae atanyamiwaYanga ni zaidi ya timu 😁
Ulikaa ukadhani wataifunga Yanga?Wameniudhi