Na ole wao kesho watukimbie. π πHahahaa Safi Sana , makolo wameumia kuliko Azam.
Tena hii yenye no 6 anayecheza dk 7 tu uwanjani[emoji3][emoji3]Naionea huruma timu itayokwenda kukutana na Mnyama
Kama wale wa uwanjani. π πZimelala mbereee KWA SAUTI YA LEGEND MAGUFULI
ππππππUshindi kwetu ni lazima. Kuna Yanga moja tu duniani πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Basi niko na argue na kiazi hapa. Bye!Mkuu nina mashaka na uelewa wako we ye mpira. Sijaelewa point yako ni ipi hapa, kwani Azizi Ki hajawahi kuanza alaf akawa anazingua uwanjani?.
Timu inapangwa kulingana na performance ya wachezaji, na sio tu majina
Atakuja na yule wakumuita mnyama nae atanyamiwaYanga ni zaidi ya timu π
Ulikaa ukadhani wataifunga Yanga?Wameniudhi