Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasemajeee !! [emoji23][emoji23]Leo ndo siku ambayo Uto wanaenda kumkataa Skudu mwakalebela
Bi sahihi, wanaonesha kama wapo zama za ujima bwana. Nilidhani ni mimi peke yangu ndio nimeona hilo tatizo kumbe hadi wewe umeliona?Hivi Azam Tv mpaka leo wameshinda kulifanyia kazi swala la camera? Yani hata haivutii kuangalia mpira aisee
Mwamnyeto kacheza faulo na kusababisha freekick eneo la karibu na 18Nini kimetokea, leteni habari kamili
Farid apande huko, Aziz k acheze 10, hata hivyo ulikua ujinga kumuanzisha Farid hapoNa Morrison ndio hayupo, tuna winga gani mwingine wa kushoto?
Jiandae ukiwa huko huko,wenzio wanakalishwa huku mapema kabisa 😂Nyie AzamFc hebu wafungeni hao Utopwinyo 2-0 ili kuleta utulivu huko Tanga. Ni mimi Greatest Of All Time, Shabiki nguli wa AzamFc kwasasa nikiwa Niamey, Niger.
Spana mkononiNamba 6 [emoji23][emoji23]
umeona eehLeo yanga watatema bungo
Waongeze useroiusAzam nao sijui walitaka kujichanganyaje pale