FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

img_1_1666597500750.jpg
Azizi ki *****
*****
Manula anajua...
 
Baada ya mechi ya leo naambiwa msimamizi wa kombe amekutwa akiandika jina la Simba kwenye hiyo ngao.
 
Nimeona kipa wa yanga anaruka ruka lakin kila akimkumbuka KiBU D mkandaji furaha Huisha
 
Ila Yanga wakicheza kama walivyocheza leo halafu wakakutana na Simba watakufa. Tushukuru Azam pumzi walikata
 
Back
Top Bottom