Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Shangilieni mdogomdogo na kwa muda mfupiIlibidi tulie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangilieni mdogomdogo na kwa muda mfupiIlibidi tulie?
Manula anajua...Azizi ki *****![]()
*****
Pole na Fei butu wako.Namuona kama Feisal kalimantan hii mechi...sana lolote linaweza kutokea hue days akafhirika yeye au yanga akawaadhilisha.. muda utaongea.
Huo sio mkwara hiyo ni descriptionHii mikwara umeianza mapema sana mkuu, ngoja kidogo...😂😂😂
Kabisa ndugu yangu huna haja kuuliza hata ikiwa sigara bwege. Hawa Azam ni madunduu.Bila ata kujiuliza fegi gani.
Akikutana nao watagongwa tu hao Simba kwani niniKocha wa yanga anaomba asikutane na simba
Atakutana na YAO! YAO!Mabeki wa Yanga waanze kujifunza mbinu za kumkaba Onana…Jumapili sio mbali
Naona mwisho umeweka emoji ya Nguvu Moja [emoji881][emoji881]Simba kama Maji.This is Yanga bhana! [emoji169][emoji172][emoji123]
😃😃😃 Watu wamevurugwaAzam na fegi? Naenda na fegi.
Nenda Manara TV.Nenda TBC
Mnyama huyu???Atakuja na yule wakumuita mnyama nae atanyamiwa
Ni sahihi. Sijui shida nini?Yani hata mvuto wa mechi unapotea
Na ole wao kesho watukimbie. 😅😅