Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Utakwe kwa lipi wewe tulia. Umeamua kutufungulia uzi ukae kwa kutulia. Nyo nyo nyoWewe Bantu Lady unanitaka?kama unanitaka sema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakwe kwa lipi wewe tulia. Umeamua kutufungulia uzi ukae kwa kutulia. Nyo nyo nyoWewe Bantu Lady unanitaka?kama unanitaka sema
Yani hapa bila "FUNGULIA MANYANI" uwanja hauwezi kujaa, ninaamini kabla game haijaanza tutasikia watu wamevunja mageti.View attachment 2696219
Hali ya baba wa taifa ni tete. Usidsnganywe na TV. Chukua hii haina mchujo
Usitufanye sisi wajinga mkuu, magepu bado kibao tuUnangalia lakini Azam Sports1 kina Zembwela na Kitenge wakileta Miamba? Piga Picha tena basi Mkuu uweke update.
Nyoo nyoo nyoo mwenyewe 🤣🤣🤣Utakwe kwa lipi wewe tulia. Umeamua kutufungulia uzi ukae kwa kutulia. Nyo nyo nyo
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮 Rage alikuwa sawa kabisa.Nyoo nyoo nyoo mwenyewe 🤣🤣🤣
Chizi huyo achana naye.🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮 Rage alikuwa sawa kabisa.
Mkuu ukimuona Bangala na Mayele unitag
Crap.🚮🚮Kwa hiyo hapo kusema Yanga ishindwe kujipiga ni nini? Unawashwa k wewe, nitakutia mimi usiniletee shobo
Ndo mnavyo danganywa hivyo [emoji23]Mkuu kwani ulikuwa hufatilii vyombo vya habari? Yanga washakunja 3.4B kutoka kwa Mayele.
Mimi nafuatilia official and verified infoMkuu kwani ulikuwa hufatilii vyombo vya habari? Yanga washakunja 3.4B kutoka kwa Mayele.
885M 😃Mkuu kwani ulikuwa hufatilii vyombo vya habari? Yanga washakunja 3.4B kutoka kwa Mayele.
Kwa jinsi alivyojifunua wakati wa utambulisho. Jamaa hamna kitu kaja kwenye Vacation huku Tz na sio kucheza mpira.Huyu skudu kweli mwalimu wa morson
Nimejiuliza hivyo pia, huyu jamaa kaja kucheza mpira au amapiano ?Kwa jinsi alivyojifunua wakati wa utambulisho. Jamaa hamna kitu kaja kwenye Vacation huku Tz na sio kucheza mpira.