New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Hata huko awe anaingia DKK 15 za mwishoMzinze atumike mechi za ligi tu Tena siyo zile mechi tafu, kwenye mechi za CAF atusubili kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko awe anaingia DKK 15 za mwishoMzinze atumike mechi za ligi tu Tena siyo zile mechi tafu, kwenye mechi za CAF atusubili kwanza.
Unateseka ukiwa maeneo gani? tuma salamu kwa makolo wenzako watatuMsisahau kwamba Miaka yote ambayo Yanga imeshinda Mechi ya Yanga Day ilikosa Ubingwa!
Simba Bingwa 2023/24 mark my words.
Yani bora Denis Nkane umri bado na ana kitu unakiona, tunaendelea kumvumilia.Hata huko awe anaingia DKK 15 za mwisho
Kumbuka hata mzinze ni under 20Yani bora Denis Nkane umri bado na ana kitu unakiona, tunaendelea kumvumilia.
Roho inakuumaaa,ahaaaaFT Yanga 1-0 Kaizer B
Ubora wake Kwa Afrika upoje!?Kumbe Kaizer Chiefs hawatashiriki kimataifa mwakani? Kumbe walipoteza mechi nne kati ya tano za mwisho?
View attachment 2696368
Usisahau ndio walikufurusha kwenye kombe la loserKumbe Kaizer Chiefs hawatashiriki kimataifa mwakani? Kumbe walipoteza mechi nne kati ya tano za mwisho?
View attachment 2696368
Kwa hiyo?Nimefurahi tyu...Yanga wana pisi kali sana
Keshasahau hiloUsisahau ndio walikufurusha kwenye kombe la loser
Ok kuna pisi kali mno isipokua mimi tu nimevamia😀😀Nimefurahi tyu...Yanga wana pisi kali sana
Wafungwe Kaizer mtuandame sisi!Roho inakuumaaa,ahaaaa
AahaaaaaaWafungwe Kaizer mtuandame sisi!
Hayo mapato unapataje bila watu kujaa ?Target sio kujaza watu ni mapato
Wapo namba 24, hata utopolo mmewazidiUbora wake Kwa Afrika upoje!?
Hii hata mimi nimeiona.Bado anahitajika clinical finisher
Mtu wa nafasi 3,goal moja
Natumai viongozi wanatafuta
Huwezi kuelewa kichwa chako MB 6Hayo mapato unapataje bila watu kujaa ?