Hizi ratiba za kumalizia home huwa ni nzuri sana, ukizipata kwenye hatua ya robo fainali kuingia nusu fainali ni kugusa tu ila ndohivyo hiyo bahati hatujawahi kuipata labda msimu huu.Ndio mkuu tunakutana nao hao na tunaanzia ugenini Angola then tunakuja kumaliza Kwa mkapa hapa
Anampira wa mbele ila amekutana na mipira ya africa africa...ila ni bonge la mchezaji huyoJamaa anaupiga vizuri sana wampe muda tu
Ni muda sasa tuwaamini wazawa, kama ambavyo ligi nyingine kubwa zimefanya.Simba ya Mgunda [emoji91][emoji91][emoji91]
Naunga mkono hojaKwa namna kikosi kinavyopangwa ni dhahiri kuwa bado Matola ana influence kubwa kwenye timu....
Kama timu imeshindwa kuleta kocha mpya mpaka muda huu basi wamuachia timu moja kwa moja Mgunda ili awe huru na timu tuone falsafa zake....
Kama Simba imefungwa na timu kutoka Djibut As Atra inaweza vipi kuifunga Zalaani!!!Wale Zalan hata sisi tukiungana humu tukatimia 11 tukasema tuache fitna zetu za usimba na uyanga
Mimi nikacheza nafasi ya striker, afu OKW BOBAN SUNZU akatokea kama Sakho halafu upande wa kushoto akasimama Matola Eneo la kiungo tukamuweka Lupweko tukamtafuta Mshana Jr akasimama golini na vibuyu kadhaa Kisha Tate Mkuu akacheza fullback
Halafu benchi tukamuweka ukikaidi utapigwa2 ambaye sub yake itafanyika dakika ya 89 kwa kubadilishana na Tate Mkuu
Hao Zalan wanatokaje kwa mfumo huo?
Mechi inaisha nimepiga nimepiga hattrick 3 afu sina habari wala sishangilii
Ulikosea kidogo, mwamba kabisa wwNakazia 2-0
Phiri na Chama
hata Oprah Clement huwa anajipigia hat trickHat trick not for everyone. Ni Kwa special talent tu.
Ishu sio timu ya wapi, ishu ni ubora wa timu husikaKama Simba imefungwa na timu kutoka Djibut As Atra inaweza vipi kuifunga Zalaani!!!
Tawile
Vip nyinyi Simba ambao mna Afya imejaa tele tunavyo wapasua shida inakua ni Nini?Ishu sio timu ya wapi, ishu ni ubora wa timu husika
Mechi yenu ya kwanza ambapo mlikiwa wageni mimi sikuiangalia
Jana wakati ndio mpira unataka kuanza nikashangaa kuona vijana wenye miili dhaifu sana
Upande nilokuwa nimekaa kulikuwa na jirani yangu yeye ni Daktari, akaniambia hao wagonjwa wa unyafuzi wameingia kutafuta nini humo uwanjani na sheria zinasema vipi kuhusu hili?
Baadaye nikashangaa wakitambulishwa kuwa hao ndio Zalan, nilichoka.
Eti na wao wana clean sheet😆😆😆Weraaa weraaa wachambuzi uchwara mna kingine??? Yani nina rahaa hadi basi. Clean sheet ugenini na ndani hatarii
Unajionaga una akili sana , kwahiyo unajisahaulisha kuwa Yanga imekufungaIshu sio timu ya wapi, ishu ni ubora wa timu husika
Mechi yenu ya kwanza ambapo mlikiwa wageni mimi sikuiangalia
Jana wakati ndio mpira unataka kuanza nikashangaa kuona vijana wenye miili dhaifu sana
Upande nilokuwa nimekaa kulikuwa na jirani yangu yeye ni Daktari, akaniambia hao wagonjwa wa unyafuzi wameingia kutafuta nini humo uwanjani na sheria zinasema vipi kuhusu hili?
Baadaye nikashangaa wakitambulishwa kuwa hao ndio Zalan, nilichoka.
Salama tu Boss wangu...Umeshindaje mamangu
Nimenyooka mwananguSalama tu Boss wangu...
Vipi wewe?
Makasiriko ya nini sasa uto? Mambo ya akili baki nayo mwenyewe.Utadhani hata ulishawahi kugundua toothpickUnajionaga una akili sana , kwahiyo unajisahaulisha kuwa Yanga imekufunga
Nini kimekunyoosha tena Mzee???Nimenyooka mwanangu