FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Vip nyinyi Simba ambao mna Afya imejaa tele tunavyo wapasua shida inakua ni Nini?

Unajionaga una akili sana , kwahiyo unajisahaulisha kuwa Yanga imekufunga
Nyie viande ile ni derby, Derby ina mambo mengi, unaweza ukawa na wachezaji wazuri na ukapoteza mechi au ukashindwa kupata matokeo

Katika kile kipindi ambacho Yanga ilikuwa mbovu sana, mlitufunga goli moja kwa Morrison

Wakati huo ukumbuke sisi tuna kikosi bora na kipana kuliko nyinyi.

Tukaja kwenye mzunguko wa pili tukawapiga goli mbili kipindi cha kwanza, kipindi cha pili mkarudisha zote na mechi kuisha ikiwa ni sare.

Hizo zote ni mechi za msimu mmoja na kikosi kimoja huku nyinyi mkiwa na kikosi kibovu lakini bado hatukuweza kuwafunga.

Kuwa na kikosi kizuri au wachezaji bora bado kwenye ishu ya Derby sio kitu cha kutegemea sana kwenye matokeo positive ya mwisho

Over confidence inaweza kukufanya upoteze mchezo huku upande wa pili ile Jihad ya kuona wao ni dhaifu hivyo wakajituma kwa nguvu zote wanaweza kupata ushindi dhidi ya timu bora.

Hata tulivtofungwa hapa na Jwaneng Galaxy msimu uliopita, haikuchangiwa na ubovu wa kikosi ilikuwa ni over cinfidence.

Wakati wapinzani walikuja kucheza Jihad na kwa bahati mbaya au nzuri wenzetu wakashinda.

Hizi References zenu za Derby ni ishara jinsi gani wengi wenu hamshirikishi ubongo, juzi hapo Man U kamfunga Arsenal licha ya kwamba Arsenal ni bora zaidi ya Man kwa msimu huu lakini ubora wake haukumsaidia japo kuwa mpira walicheza sana na kufanya mashambulizi mengi.
 
Nyie viande ile ni derby, Derby ina mambo mengi, unaweza ukawa na wachezaji wazuri na ukapoteza mechi au ukashindwa kupata matokeo

Katika kile kipindi ambacho Yanga ilikuwa mbovu sana, mlitufunga goli moja kwa Morrison

Wakati huo ukumbuke sisi tuna kikosi bora na kipana kuliko nyinyi.

Tukaja kwenye mzunguko wa pili tukawapiga goli mbili kipindi cha kwanza, kipindi cha pili mkarudisha zote na mechi kuisha ikiwa ni sare.

Hizo zote ni mechi za msimu mmoja na kikosi kimoja huku nyinyi mkiwa na kikosi kibovu lakini bado hatukuweza kuwafunga.

Kuwa na kikosi kizuri au wachezaji bora bado kwenye ishu ya Derby sio kitu cha kutegemea sana kwenye matokeo positive ya mwisho

Over confidence inaweza kukufanya upoteze mchezo huku upande wa pili ile Jihad ya kuona wao ni dhaifu hivyo wakajituma kwa nguvu zote wanaweza kupata ushindi dhidi ya timu bora.

Hata tulivtofungwa hapa na Jwaneng Galaxy msimu uliopita, haikuchangiwa na ubovu wa kikosi ilikuwa ni over cinfidence.

Wakati wapinzani walikuja kucheza Jihad na kwa bahati mbaya au nzuri wenzetu wakashinda.

Hizi References zenu za Derby ni ishara jinsi gani wengi wenu hamshirikishi ubongo, juzi hapo Man U kamfunga Arsenal licha ya kwamba Arsenal ni bora zaidi ya Man kwa msimu huu lakini ubora wake haukumsaidia japo kuwa mpira walicheza sana na kufanya mashambulizi mengi.
Sasa Kwa akiliyako timamu unaamini kikosi iki Cha Simba kinaweza kupata matokeo Kwa Yanga hii!! Hii ndio Simba mbovu kabisa Kwa kipindi hiki Cha karibuni kama itacheza Kwa jitihada kubwa sana labda wapate sare lakini ilo silioni likitokea.
 
Wampe mzungu kipindi kizima. Mfano 2nd half yote.
 
Unajua ni nchi 12 tu zinaingiza teams 4? Hizo nafasi 2 extra kaleta nani au mayelle?
Hilo unalijuwa wewe, Yanga inashiriki club bingwa Kwa sababu ndio mabingwa wa nchi.

Kama mlipigania nafasi 4 mnanufaika wenyewe maana otherwise mwaka huu mngeenda shirikisho direct Tena mngeanzia round ya Pili.
 
Sasa Kwa akiliyako timamu unaamini kikosi iki Cha Simba kinaweza kupata matokeo Kwa Yanga hii!! Hii ndio Simba mbovu kabisa Kwa kipindi hiki Cha karibuni kama itacheza Kwa jitihada kubwa sana labda wapate sare lakini ilo silioni likitokea.
Unaonekana una tatizo la uelewa

Nimekuambia Derby ni mechi ambayo huamuliwa kwa vitu vingi nimekupa na mifano hapo inayoonesha Simba alikuwa na kikosi kizuri na Ya ga mlikuwa wabovu na bado tukapoteza mechi

Nikija kujibu swali lako, ni yeah Simba anakikosi kizuri tena sana tu.

Kama ifatilia ile last Derby walivyotoa linesups kwa timu zote mbili, mimi nilikuwa wakwanza kutabiri Simba kufungwa kwa ile mechi

Wachezaji muhimu walikosekana akiwemo phiri, waliopata nafasi wengine walipangwa katika position ambazo sio mfumo wao

Sub walizofanya zilikuwa za kijinga na ndio maana watu walikuwa wakimlaumu matola.

Hata wewe unaona namna Simba inavyocheza sasa ni tofauti na ile mechi ya Derby ambayo tulicheza
 
Nyie viande ile ni derby, Derby ina mambo mengi, unaweza ukawa na wachezaji wazuri na ukapoteza mechi au ukashindwa kupata matokeo

Katika kile kipindi ambacho Yanga ilikuwa mbovu sana, mlitufunga goli moja kwa Morrison

Wakati huo ukumbuke sisi tuna kikosi bora na kipana kuliko nyinyi.

Tukaja kwenye mzunguko wa pili tukawapiga goli mbili kipindi cha kwanza, kipindi cha pili mkarudisha zote na mechi kuisha ikiwa ni sare.

Hizo zote ni mechi za msimu mmoja na kikosi kimoja huku nyinyi mkiwa na kikosi kibovu lakini bado hatukuweza kuwafunga.

Kuwa na kikosi kizuri au wachezaji bora bado kwenye ishu ya Derby sio kitu cha kutegemea sana kwenye matokeo positive ya mwisho

Over confidence inaweza kukufanya upoteze mchezo huku upande wa pili ile Jihad ya kuona wao ni dhaifu hivyo wakajituma kwa nguvu zote wanaweza kupata ushindi dhidi ya timu bora.

Hata tulivtofungwa hapa na Jwaneng Galaxy msimu uliopita, haikuchangiwa na ubovu wa kikosi ilikuwa ni over cinfidence.

Wakati wapinzani walikuja kucheza Jihad na kwa bahati mbaya au nzuri wenzetu wakashinda.

Hizi References zenu za Derby ni ishara jinsi gani wengi wenu hamshirikishi ubongo, juzi hapo Man U kamfunga Arsenal licha ya kwamba Arsenal ni bora zaidi ya Man kwa msimu huu lakini ubora wake haukumsaidia japo kuwa mpira walicheza sana na kufanya mashambulizi mengi.
Simba anaenda kucheza shirikisho lini? Naona anapoteza muda.

Samahani lakini.
 
Unaonekana una tatizo la uelewa

Nimekuambia Derby ni mechi ambayo huamuliwa kwa vitu vingi nimekupa na mifano hapo inayoonesha Simba alikuwa na kikosi kizuri na Ya ga mlikuwa wabovu na bado tukapoteza mechi

Nikija kujibu swali lako, ni yeah Simba anakikosi kizuri tena sana tu.

Kama ifatilia ile last Derby walivyotoa linesups kwa timu zote mbili, mimi nilikuwa wakwanza kutabiri Simba kufungwa kwa ile mechi

Wachezaji muhimu walikosekana akiwemo phiri, waliopata nafasi wengine walipangwa katika position ambazo sio mfumo wao

Sub walizofanya zilikuwa za kijinga na ndio maana watu walikuwa wakimlaumu matola.

Hata wewe unaona namna Simba inavyocheza sasa ni tofauti na ile mechi ya Derby ambayo tulicheza
Kwakua unaamini kwasasa Simba wako vizuri, tusubiri jumapili tarehe 23 October.
 
Back
Top Bottom