FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Naona Assec mimosa anaongoza goli mbili bila na mpira umeisha.......Hii game ya Assec na Jwaneng Galaxy nilitamani sana matokeo yake yawe droo,ila naona galaxy anatupa wakati mgumu sana sie simba mechi ijayo na assec ni kushinda tu na sio kudroo nao
Jwaneng Galaxy muda wake wa kusumbua umeisha, hapa Tz ni lazima akae.
 
Naona Assec mimosa anaongoza goli mbili bila na mpira umeisha.......Hii game ya Assec na Jwaneng Galaxy nilitamani sana matokeo yake yawe droo,ila naona galaxy anatupa wakati mgumu sana sie simba mechi ijayo na assec ni kushinda tu na sio kudroo nao
Sare tu tumeteleza sisi tukishinda hiyo ni extra kwaajili ya kuongoza kundi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila aunt umeshindikana kwaiyo tungepigwa mwanangu angekula Kwa macho
Yaan shangazii mwanao angenuniwa week nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huwa ananiuliza "kwahiyo simba na mimi unapenda sana simba?"

Namjibu kiufupi "ulinikuta na Simba na utaniacha nayo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan shangazii mwanao angenuniwa week nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huwa ananiuliza "kwahiyo simba na mimi unapenda sana simba?"

Namjibu kiufupi "ulinikuta na Simba na utaniacha nayo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hujambo binti
 
Raha ya ushabiki ni kumkera mpinzani wako bila kumuudhi wala kumvunjia heshima...

Kama huwa unakereka basi safari ijayo tukiwakanda khamsa aka 5G utanikoma [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan unaniudhigii wee hujui tyuuh.
 
Yaan shangazii mwanao angenuniwa week nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huwa ananiuliza "kwahiyo simba na mimi unapenda sana simba?"

Namjibu kiufupi "ulinikuta na Simba na utaniacha nayo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Mtoto jeuri wew
 
Naona Assec mimosa anaongoza goli tatu bila na mpira umeisha.......Hii game ya Assec na Jwaneng Galaxy nilitamani sana matokeo yake yawe droo,ila naona galaxy anatupa wakati mgumu sana sie simba mechi ijayo na assec ni kushinda tu na sio kudroo nao
Mchezo wa mpira huwa una matokeo ya kushangaza sana. Tutashangazwa kwa Wydad kushinda game zake zote mbili zilizosalia dhidi ya Asec na Galaxy. Halafu Simba kushinda Moja dhidi ya Galaxy .
 
Narudia tusibweteke,
Mchezo wa mpira huwa una matokeo ya kushangaza sana. Tutashangazwa kwa Wydad kushinda game zake zote mbili zilizosalia dhidi ya Asec na Galaxy. Halafu Simba kushinda Moja dhidi ya Galaxy .
Hatuangalii matokeo ya timu nyingine! Kila mtu ashinde mechi zake!!
 
Back
Top Bottom