Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Kivipi?Kumbe nawe unamchepuko[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Kumbe nawe unamchepuko[emoji848]
Tutakoma watani mna sifaa, ila hongereni sana mmeupiga mwingi, heko kwa OnanaPopote ulipo financial services uione hii
Teh, bado hujasemaa.Tutakoma watani mna sifaa, ila hongereni sana mmeupiga mwingi, heko kwa Onana
Vipi walikupa package yako ya Matusi ?Nyie Makolo semeni wenyewe mapema, hii mechi mkifungwa itakuwaje?
Maana nyie ndio mabingwa wa hesabu za makundi, nyie ndio mnajua kucheza mechi za makundi CAFCL 🤣🤣
Poleee mchawiii wee. [emoji23][emoji23][emoji23]Siku mbaya sana ....[emoji29][emoji29]
WoyooooooohSare 1 na ushindi mmoja Simba anafikisha points 9,na Wydad akishinda zote anakuwa na 9 hiyo kuwa sawa,kwa kanuni za CAF mkilingana points cha kwanza wanaangalia mlipokutana( head to head) mlitokaje, Wydad kamfunga Simba goli moja kule Morocco na Simba kamfunga Wydad goli 2 hivyo Simba anapita moja kwa moja hata
Mzunguko wa tano Galaxy anacheza na wydad,Jwaneng Galaxy muda wake wa kusumbua umeisha, hapa Tz ni lazima akae.
Mimi linaniudhi hilo li Mchome na lilivyo tutusa sasa na akili yake imekaa kama litahira flani hivi.Siku wapatikane mashabiki walidunde makonzi kureset akili yake nitafurahi sana.Na huyu mchome mtopolo huyu atakuja kufa kinywa wazi hajui kuna watu wengine wana ushabiki uliopitiliza watakuja kumfanya kitu mbayaView attachment 2847496View attachment 2847497
Yaani mpaka tuseme Simba mmefunga😀😀 mlijitahidi sana watani, mko vizuri basi tu sijui tuliwaoteaje mkala 5G unakumbuka?😀🏃♀️Teh, bado hujasemaa.
Ulicheki kandanda safi ya jana?
Wewe si ulikata Tamaa ukasema Simba ijipange msimu ujao kimataifa?Mtaniii nakuja na shemeji ako tunakuletea plufel utulize maumivuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo post uliituma DK 36 tayari mnyama alimtandika mtu kimoja...Mjukuu niwache! 😁😁😁
Na mimi niliwaombea mshinde mapema kabisa mechi bado mbichi. Uzalendo kwanza jamani!
View attachment 2847327
Ushindi wa Asec ndio umeturahisishia Kwa taarifa yakoNaona Assec mimosa anaongoza goli tatu bila na mpira umeisha.......Hii game ya Assec na Jwaneng Galaxy nilitamani sana matokeo yake yawe droo,ila naona galaxy anatupa wakati mgumu sana sie simba mechi ijayo na assec ni kushinda tu na sio kudroo nao
Asec hatokubali abaki na kumi zake,atataka amalize na 13 ili game yake ya mwisho ugenini atulie,Ushindi wa Asec ndio umeturahisishia Kwa taarifa yako
Tunaizungumzia Wydad ya sasa. Mbona huitaji Galaxy ni ya ngapi kwenye mkeka wa Caf na imeifunga Wydad. Ukweli utabaki wazi kuwa Wydad ya sasa ni vbonde, hivyo msijione miamba sana kuwafungaTuambie Madeama ni ya ngapi kwenye mkeka wa caf kwa klabu hapa afrika. Tuambie wydad ni ya ngapi kwenye mkeka huo pia halafu endelea kuota ndoto ya mchana!
5G ipi? Mbona unaleta mambo ya zamani hapa 🤣Yaani mpaka tuseme Simba mmefunga😀😀 mlijitahidi sana watani, mko vizuri basi tu sijui tuliwaoteaje mkala 5G unakumbuka?😀🏃♀️
Kivipi wakati nyie mtamaliza na point 8 na huyu Wydad mliyemfunga leo atamaliza na point 9Ushindi wa Asec ndio umeturahisishia Kwa taarifa yako