Yanajionaga MadriiiidHizi kenge eti ndio zinajiita timu bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanajionaga MadriiiidHizi kenge eti ndio zinajiita timu bora
AnajisahaulishaTuambie lini tena waliwahi tangulia kwa goli 2 mkawafunga?
Tuambie basi huwa mnafanya kipindi cha pili?Kipindi chetu chaja
Walaaa haturingii 🤣🤣🤣Wana Siiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimba[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2590057
Akimaliza kwa kuruhusu si zaidi ya goli moja, atajiamini sana mechi kubwa kubwaSimba huyu kipa wetu basi tu. Anafanya makosa mengi sana
NakaziaWanatabia ya kuchoropoka hawa......
[emoji23][emoji23][emoji23]leo acha awaonyeshe sasa"Yeye huwa anawaka kwenye game ndogondogo tu, kama hii"
[emoji23]
WeuweeeeeeeWalaaa haturingii 🤣🤣🤣
Ndio mpira ila lile goli la kwanza ndio chanzo cha yote yanayo tukuta.Nakupendea hiko tuu...upo real
Ila pole mtani
Haa Haa Wamenyeshewa Na Mvua.....Yanga wameloa wameloa in harmonize voice
immediately baada ya kuvunjiwa protector😓😓😓Kijana mmoja wa hovyo