TunamshukuruHahaaaaaa, jamaa kweli kawaonea huruma.
Tukawalalamikie CASMmebebwa
Utabebwaje mbele ya Rais wa FIFA na Rais wa CAF unatka refa akale wapiMmebebwa
Mtangazaji mkuda tuMtangazaji anasema "I think the referee wanted to favour the home team, the fans"😂
Favor kwa context hiyo maana yake maamuzi yamekuwa mazuri kwa home team. Ni terminologies tu za utangazajiHuyu commentator wa kiingereza anasema kabisa Refa kiafavour home team. Huyu jamaa ana nongwa na sisi.
Hakuna kitu anaruka ruka kama maharage yanataka kuivaHivi Leo Kazi Ya Ngoma Mmeionaaaa?