magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Mbona unabadili maneno?Kama hufahamu TFF ndio iliyomuombea uraia, endelea kubaki na mwiko nyuma
Cc Aden Rage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unabadili maneno?Kama hufahamu TFF ndio iliyomuombea uraia, endelea kubaki na mwiko nyuma
Sa Mbumbumbu anapata wapi akili Swahiba. 😂😂Kumbe bado wanajipa moyo 😀,watakachokutana nacho cairo awatosahau
Ukimaliza kunichora unipakage na rangi basi eti. Teh teh. 😅Huwa nakuchora tu
Arsene Wenger alitoa heshima ya juu kwa Simba kwa kusimama (standing ovation) baada ya Simba kufunga goli la pili. Ni goli la kiufundi sana na limetafutwa kiufundi sana!! Kwa hiyo Arsene Wenger atabaki na kumbukumbu nzuri sana ya Simba kwanza (iliyomfanya aje Tz) kisha ya Tanzania (iliko simba)..Arsene Wenger atabaki na kumbukumbu nzuri ya Tanzania sio Simba. Unadhani ubao ungesoma 5-0 kwa Ahly future yetu ktk soka kama Nchi ingekuwaje?
Tunataka kuwaona akina Samatta wengine EPL kama wenzetu Nigeria, Ghana, Burkina Faso n.k ambao tayari wanaaminika huko.
Ona tumepata heshima ya mechi ya ufunguzi, bado AFCON 2027. Ni ujinga kuwashangilia Waarabu dhidi ya bendera ya Nchi yetu.
Ila nyie pia siwashabikii. Lol
Tulishinda ugenini Misri kwa kumtoa bingwa mtetezi wa klabu bingwa afrika Zamalek!! kama ulikuwa bado ni mtoto mdogo waulize kaka zako!!Kwenye kombe la loser uliwahi kushinda ugenini?
Jana umeona mo alivyochukua nafasi ya mangungu 😀,hawa viumbe rage akukosea kuwaita lile jina 😂Sa Mbumbumbu anapata wapi akili Swahiba. 😂😂
Una busara sana Nifah, ndjvyo shabiki wa kweli wa soka nchini anapaswa kuwa. Huu ndiyo ushabiki wa soka wa viwango. Kuiona soka ya Tanzania kama familia moja.Arsene Wenger atabaki na kumbukumbu nzuri ya Tanzania sio Simba. Unadhani ubao ungesoma 5-0 kwa Ahly future yetu ktk soka kama Nchi ingekuwaje?
Tunataka kuwaona akina Samatta wengine EPL kama wenzetu Nigeria, Ghana, Burkina Faso n.k ambao tayari wanaaminika huko.
Ona tumepata heshima ya mechi ya ufunguzi, bado AFCON 2027. Ni ujinga kuwashangilia Waarabu dhidi ya bendera ya Nchi yetu.
Ila nyie pia siwashabikii. Lol
Kakwambia nani? Kwahiyo unamaanisha hata Simba ikitokea kasonga mbele ataenda kutumia uwanja upi? Huko kusonga mbele kwa Simba ni mbali, Jumatatu tu huo uwanja utatumika kwenye mechi ya Yanga vs AzamHayo yalikuwa ni maboresho ya fast kuruhusu hii game ipite. Utafungwa then maboresho makubwa yatafanyika na kuisha July 2024.
Mko vizuri watani hongereni ila punguzeni draw/droo tumechoka😀🙂Ohoo, umekosa game tamu sana