FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
Refa kalewa mlungula...kajivunjia. ila waarabu transitions zao za ukweli balaa.
 
Sijui kwanini watu hawasemi, kuna haja ya Kapombe na Mohd Hussein kuwekwa nje taraitibu na hasa Kapombe alikuwa na game mbaya sana hakushinda hata 1-1 moja walikuwa wanapita tu labda Alhly huku kushoto walikuwa na watu wabaya sana lakini kwa uzoefu kwa Kapombe angeleta vita ila ilikuwa kinyume walikuwa wanapita tu. Kapombe akienda Egypt kama leo basi itakuwa majanga. Mohd Hussein position haikuwa nzuri yule Mmakonde hata JKT Ruvu hachezi. Jamani vile vifaa viwili kushoto Slim sijui na Shehate ni balaa kama huna fitness nzuri na umakini yatakukuta ya Kapombe.
 
SaveTwitter.Net_F85AngaXEAAh_QN.jpg
 
Arsene Wenger atabaki na kumbukumbu nzuri ya Tanzania sio Simba.
Atabaki na kumbukumbu ya Simba vs Al ahly in Tanzania.
Unadhani ubao ungesoma 5-0 kwa Ahly future yetu ktk soka kama Nchi ingekuwaje?
Wenger ameshawahi fungwa goli nane. Sidhani kama kungekuwa na maajabu kwa hawa viongozi wakubwa.
Tunataka kuwaona akina Samatta wengine EPL kama wenzetu Nigeria, Ghana, Burkina Faso n.k ambao tayari wanaaminika huko.
Kabisa. Nakubaliana na wewe.
Ona tumepata heshima ya mechi ya ufunguzi, bado AFCON 2027. Ni ujinga kuwashangilia Waarabu dhidi ya bendera ya Nchi yetu.
Binafsi huwa naona kwenye club ni sawa tu kama mtu kapenda kushangilia timu isiyo ya nchi yake.

kwani ingetokea club ya kiarabu ina wachezaji 4 wa Tanzania na inacheza na Simba/Yanga yenye wachezaji wengi wa kiarabu ingekuwa ni kosa kuwasapoti hao watanzania?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]ndo maana mnaishia robo fainali na hizi kauli zenu etiih hatuwadaihuyu demu ake nani anipandisha midadi mwambieni bhana ASANTE!?
 
Back
Top Bottom