inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ushambulie Kama chizi,utapigwa mvuaHuko hatuna cha kupoteza . Ni kushambuli mwanzo mwisho hadi mwarabu aite maji mma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushambulie Kama chizi,utapigwa mvuaHuko hatuna cha kupoteza . Ni kushambuli mwanzo mwisho hadi mwarabu aite maji mma
Ndio timu Gani hiyoWewe ni mwepesiii kuliko biscuit iliyolowekwa, ama Ihefu ni kubwa kuliko Aly Hilal?
Al Ahly ama IhefuNdio timu Gani hiyo
Tumeanza kwenda Cairo leo?Kumbe bado wanajipa moyo [emoji3],watakachokutana nacho cairo awatosahau
uwezo gani,,, hii ni mechi ya tatu kwa miaka ya hivi karibuni,,,alishinda mbili ya leo katoa sare.Simba wameonyesha uwezo mkubwa sana.
Una ugomvi binafsi na huyu mwanadada? Naona kila comment lazima umbagazeAingie huyuView attachment 2787481
Head To Head wamelingana ushindi 3 kila mmoja na sare moja.uwezo gani,,, hii ni mechi ya tatu kwa miaka ya hivi karibuni,,,alishinda mbili ya leo katoa sare.
Haya tusemezane sasaLet's us wait
Nje ya football hapanaUna ugomvi binafsi na huyu mwanadada? Naona kila comment lazima umbagaze
Haooo MakoloHaya maumivu ni makali kwa baadhi ya Utopwox kuliko kwa Percy hivi ndo nani sikumuona kabisa...
Utopolo watasalimiwa na Masau BwireBaada ya mechi..Infantino,Wenger ,Mosepe na viongozi wengine wakubwa wa Soka Duniani walienda dressing room ya Simba na kuwasalimia na kuwapongeza wachezaji...aissee
Sijacheki game ila naskia mmeupiga mwingi, hongereni watani, japo mna kelele sana ila acha utaifa kwanza, how are you Simba fan?Kwa kweli game ilikua ya kiume sana, kongole kwa Simba, chama langu,
Uwanja wa Mkapa umefanyiwa maboresho makubwa sana, sikuona tofauti na ulaya au South Africa, tuzidi kuboresha uwanja wetu.
CC
financial services
Sasa ni muda ya machaambuzi uchwara . zile ramli zote chaliii kila mmoja anasema yakeView attachment 2787531
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule mnachezeaga 5,kuanzia leo nakupa home work kapombe na mwenda wakifanyiwa sub kama watapeana mikono niite mchawi 😀,mnaamini uchawi hadi mmewapa ujinga wachezaji wenu full kuroganaTumeanza kwenda Cairo leo?
Baada ya matokeo yenu mfukoni kubuma ndiyo kauli ya wachawi iliyobaki.
Usijizime data Wiki chache zijazo Al Ahly watarudi kwa Mkapa.