Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Last 3 previous match (before today) hazijatoa mbabe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha imebadilika 😀Anyway game imeisha .
Tutakwenda Cairo
Kama hufahamu TFF ndio iliyomuombea uraia, endelea kubaki na mwiko nyumaKaria anagawa uraia.
Lini yanga ameshinda ugenini kwa Al Ahly? Tafadhali usilinganishe ng'ombe na nyati eti kwa sababu wote ni wanyama!! Huwezi kul;inganishga Al Ahly na yule mliyecheza naye kombe la losers!!Sio mbaya tutaenda kushinda ugenini kama yanga
Tunasubiri kuwaona nanyieSasa kama kwenye uwanja wako wa nyumbani unapata sare! Tena ya magoli 2-2!!! Kweli??? Halafu wakati huo huo unajifahamu fika huna rekodi nzuri kwenye viwanja vya Waarabu, kama ilivyo kwa kaka yako!!!
Kweli kuna shabiki anaamini timu yake itasonga hatua inayofuata kwenye haya mashindano ya Bonanza!!! Au ndiyo mwendo wameumaliza!!!
Asante sana kwa pongezi zako mama, najua umetoa pongezi za dhati kwa kuwa wewe unajua sana mpira. Tuombe heri kwenye marudiano Mungu atufanyie muujiza.Haya, hongereni wenzetu. Kwa mara ya kwanza nakiri nimekuwa mzalendo.
Mechi ilikuwa kali na ya kuvutia, kudos.
Acha unafiki mamaHongera sana Simba, mnaweza kabisa kuwashinda kwao.
Hakuna goli rahisiGoli rahisi sana, poleni.
Kweli sijafurahi, mmejitahidi sana kufungwa kizembe namna hii.
Hahahahaa! Muda ni hakimu mzuri sanaKabisa timu yao beki zake ni 🚮 wale waarabu kwa mpira ule wakija hapa wakicheza na yanga watakufa mapema sana
Umeona jinsi misri wanavyosimama na PalestineIsrael waivamie misri mechi waihairishe[emoji23]
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Zamalek alitolewa na simba hukohuko misri, tena akiwa bingwa mteteziKule mnachezeaga 5,kuanzia leo nakupa home work kapombe na mwenda wakifanyiwa sub kama watapeana mikono niite mchawi 😀,mnaamini uchawi hadi mmewapa ujinga wachezaji wenu full kurogana
Ameanza kushabikia mpira mwaka 2020 huyo.Zamalek alitolewa na simba hukohuko misri, tena akiwa bingwa mtetezi
Ndio soka, kosa moja unaadhibiwa vizuri.. Waarabu wanacheza kwa mipango sana, game ya marudiano Robertinho asibahatishe kikosi.Goli walilosawazisha al ahly limeniuma hatari
Arsene Wenger atabaki na kumbukumbu nzuri ya Tanzania sio Simba. Unadhani ubao ungesoma 5-0 kwa Ahly future yetu ktk soka kama Nchi ingekuwaje?Asante sana kwa pongezi zako mama, najua umetoa pongezi za dhati kwa kuwa wewe unajua sana mpira. Tuombe heri kwenye marudiano Mungu atufanyie muujiza.
Ova
Huyu mtu hajawahi kuwa na akili