Ukiwa na mpira wa yanga kichwani yan unaona simba kama wanatuka ruka tuKwahiyo hili ndio pira biriyani? Aisee safar bado ndefu sana.kiufupi mpira hauleweki naona wanagusa gusa bira malengo, all in all hakuna timu hapa
Mbona na nyie mtakutana nao tutawaonaSimba wanamkosa
1 khalid aucho
2 nzengeli
3 yao kwas attoula
Kwa mbeleko gani? Kwani VAR imesemaje? Na angepiga ikadakwa ama akapaisha?Kaka ni dhahiri mmebebwa usibishe
Shughuli imeanza huko.Huyu commentator wa kiingereza anasema kabisa Refa kiafavour home team. Huyu jamaa ana nongwa na sisi.