Baleke Anatafuta Red Card?
Woooow!.....kumbe upo madam....Sijaenda
Nasikitika kusema mnyama atakufa tu leo.Over
1.5 uhakika ila sasa nilimuua mnyamaπ
Acha tuoneAl Ahly wanacheza kama hawataki.
Aah wapi wanakaza sana wamehamia wote nyuma sahz wanadefendAl Ahly wanacheza kama hawataki.
Wamekata tena baada ya kusawazishaWameachia WiFi baada ya Kibu kutupiaView attachment 2787485
Ni ndugu katika imani.Al Ahly wanacheza kama hawataki.