Walishinda 2 bila. Magoli yenye hadhi ya UEFA Champions league [emoji23][emoji23]Matokeo vipi?
Maana umeme huku walikata
Pole mkuu... Najua unajikaza kujitutumua ila deep down umeikubali shughuli....#GuyuMoya
2 bila....Simba walipiga boli moja matataMatokeo vipi?
Maana umeme huku walikata
Matata sana. Pia nimefurahishwa na Fountain Gate kwa soka lao.2 bila....Simba walipiga boli moja matata
Hata kama tunaanza round ya awali CAF tutaendeleza hatua tuliyofikiaHivi kwamfano club ya taifa lolote lile imekuja hapa halafu ghafla inakutana na makelele yote hayo wanapata wapi nafasi ya kucheza mpira zaidi ya kutetemeka na kuingiwa na vitete??[emoji23][emoji23]
Yani hapo hata uje na wachezaji wenye viwango gani ni lazima upoteze network.
Na hiyo ni moja kati ya sababu ambazo huwa ,zinaifanya Team ya Simba Sc kutokwa na wazimu kwenye mechi zake za kimataifa.
Sina mashaka na swala la kufikia makundi, wachezaji, na viongozi wote tayari wanauzoefu wa kutosha juu ya kuziendea hizi mechi za kimafaitaHata kama tunaanza round ya awali CAF tutaendeleza hatua tuliyofikia
Ila combination ya Babra na Ahmed Ally wakishirikiana na management ya Simba walichofanya leo hakijapata kuonekana kwa Club hapa Afrika. Hongera kwao.
Halafu nchi hii inataka kuruhusu wahuni kama Manara na Hersi waharibu heshima ya mpira na TFF?
*****, bora kuipiga chini timu nzima tuone! Kwani Yanga ni nini bana, au kwa sababu kina Mkuchika na yule muhuni Madelu wako huko wanataka kutuharibia soccer?
Nadhani Rais wa CAF atawaambia wengine what's Simba
Wale mashabiki Maandazi walioenda Taifa kuimbishwa mapambio ya GSM GSM GSM GSM siku nzima sasa wanaugulia maumivu kwa Ubunifu wa WanaMsimbazi[emoji1787][emoji1787]
Mwisho wa siku pochi NENE ni kwaYani kama uko home unajiandaa kuja kwa mkapa ni bora tu usije
Hizi ni picha za saa 7 kasoro
Kwa mara ya kwanza nimeona ipo haja ya serikali kufunga feni uwanjani
Huku sio kujaa, huku ni kutapika
View attachment 2317970View attachment 2317971View attachment 2317972View attachment 2317973View attachment 2317974
That's market segmentation, sell at low price to ordinary populations but more quantities, finally more revenue.Yule Manara ajue kabisa misingi ya Simba Sc haijawahi kutegemea kelele zake, yale makutano ya watu yaliyokuwa yanamtia wengile na kiburi ilikuwa ni kwasababu ya mapenzi yao kwa team na sio mtu.
NB: Mechi zote za kimataifa tutakazokuwa tunacheza saa 10 jioni (kutokana na ratiba), nadhani viingilio viwe hivihivi ili tupige faida kubwa , maana it not always about price tags, but the frequency of selling.
Hiyo mtajua nye iwe kweli au uwongoMwisho wa siku pochi NENE ni kwa
View attachment 2318078
Umeongea kisomi Sana na tekniki za kiuchumi zilivyo hawatakuelewa baadhi ya watu but ndo ukweliThat's market segmentation, sell at low price to ordinary populations but more quantities, finally more revenue.
The strstegy to penatrate the market for more customers.
Simba 2-0Matokeo vipi?
Maana umeme huku walikata
Wanaanzaje kuelewaa wakati akili za mgaoUmeongea kisomi Sana na tekniki za kiuchumi zilivyo hawatakuelewa baadhi ya watu but ndo ukweli
Wataelewa wawili tu kwakuwa ndio wanaakili