FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

Ahmed Ally Anatarajiwa Kuingia Uwanjani Na Ngamia.

Hii Anataka Kumaanisha Nini?
Anaman
Halafu huyu msanii wao kila mwaka anawaletea tu mikosi. Mwaka jana aliingia uwanjani akiwa ndani ya jeneza! Na kilichotokea timu ikaambulia patupu msimu mzima. Safari hii ameamua kuinyonga tena timu yake!!
Ameingiaje?
 
Achana na Tunge, lianzishe kila kitu kinaanzishwa Na mtu,
 
Wanahitaji semina hawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…