FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

Mwamba wa Kaskazini, Wakuitwa Joh Makini…. atakuwepo leo kwenye Shughuli Ya Simba

IMG_9308.jpg
 
Ni Siku Kubwa, Siku ya wenye Nchi, wengi
Wanaifahamu kama "Simba Day". Tutakuwa "LIVE
AND DIRECT" Hapa Kijiwe cha Soka "JAMII
SPORTS" Kukuletea yote vanaondelea kutokea
pale Benjamini Mkapa katika hii siku Kubwa, kwa
wana simba

Simba Sc Imetangaza Kufungua Mageti ya Uwanja
Kuanzia Saa 2 kamili asubuhi na Kutarajia Kuujaza
uwanza ifikapo saa 6 Kamili Mchana. Baada ya
Ticket Zote kuwa "SOLD OUT" Baadae Saa 1 kamili
Jioni Mtanange Wa Mpira Wa Miguu uta fuata ni
SIMBA SC Vs POWER DYNAMOS

Live Updates zote utazipata hapa.

SaLm Kikeke- MC namba Moja Shughuli Ya Simba

View attachment 2709666

MC PETIT-Atakuwa Mc Namba 2 Shughuli ya Simba

View attachment 2709669

MC B Classic- Atakuwa Mc Namba Tatu Shughuli ya Simba, Sauti Nzitooo

View attachment 2709670

Mgeni Rasmi -Ni Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

View attachment 2709671

ALI KIBA- Main Artist Kwenye Shughuli Ya Simba

View attachment 2709674

UPDATES:

Ifikapo Saa 2 Asubuhi Mageti ya uwanja wa Kwa Mpaka yatafunguliwa

Kutakuwa na Burudani Mbalimbali, Mchezo wa Kirafiki kati Ya Simba Queens na Msala Princess, CRDB BANK VS NMB BANK, Utambulisho wa wachezaji wa Msimu wa 2023/2024 na Baadae ni Mchezo Kati ya Simba Vs Power Dynamos
Safi sana..tumeamka salama sikukuu yetu imefika
 
Back
Top Bottom