Jamaa anajituma sana, kuna mambo kidogo yanahitajika ya kiufundi, tangu mechi na utopolo wachezaji wetu wamechezewa kishirikina, sasa ndo wanaanza kurudi kawaida moja hadi mojaHuyu beleke sijui skuizi amepatwa na nini
Kuna aliyejibu?Baelezee
π€£π€£π€£Umetumia Biblia gani mkuu? hiyo Zab 122 haisemi Bwana ndiye mchungaji wangu...
Itakua ametumia mkeka...Umetumia Biblia gani mkuu? hiyo Zab 122 haisemi Bwana ndiye mchungaji wangu...
Mnalogana wenyewe mnawasingizia wengineJamaa anajituma sana, kuna mambo kidogo yanahitajika ya kiufundi, tangu mechi na utopolo wachezaji wetu wamechezewa kishirikina, sasa ndo wanaanza kurudi kawaida moja hadi moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena yani walisukwa sukwa mnooJamaa anajituma sana, kuna mambo kidogo yanahitajika ya kiufundi, tangu mechi na utopolo wachezaji wetu wamechezewa kishirikina, sasa ndo wanaanza kurudi kawaida moja hadi moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo michuano naona mko nayo serious sana makolo πUtasubiri sanaaa...Simba moto ndo umewaka..kwani kuna nini cha kumtoa kocha...labda mumtoe yule para wenu
Aisee!Jamaa anajituma sana, kuna mambo kidogo yanahitajika ya kiufundi, tangu mechi na utopolo wachezaji wetu wamechezewa kishirikina, sasa ndo wanaanza kurudi kawaida moja hadi moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Fainali paah! Halafu mwamuzi wa kati siyo Tatu Malogo, Ahmada Simba,Mara paap Final Mapinduzi cup Simba Vs Yanga, Itakua poa sana.
Wasipokuwa serious watabeba nini?Hiyo michuano naona mko nayo serious sana makolo π
122-1Umetumia Biblia gani mkuu? hiyo Zab 122 haisemi Bwana ndiye mchungaji wangu...
Litakufa jitu dadekiFainali paah! Halafu mwamuzi wa kati siyo Tatu Malogo, Ahmada Simba,
Ramadhan Kayoko, au Jonisia Rukya!!! Aisee hapo mkono unaweza kujirudia.
πππ Watu MNA gubu ungekausha Tu Zaburi 23Umetumia Biblia gani mkuu? hiyo Zab 122 haisemi Bwana ndiye mchungaji wangu...
Tutamshawishi kocha wacheze wale vijana: kina ShekhanFainali paah! Halafu mwamuzi wa kati siyo Tatu Malogo, Ahmada Simba,
Ramadhan Kayoko, au Jonisia Rukya!!! Aisee hapo mkono unaweza kujirudia.
Nye wachawi tu,siku ile uwanja ulitanda nguvu za giziMnalogana wenyewe mnawasingizia wengine
Kwamba mnajifanya hamuyataki au mnaogopa mnaowategemea hawapo mkijifanya kuwaingiza waliopo mnaona aibu watakvyopwaya?Hiyo michuano naona mko nayo serious sana makolo π
Beginning ya Benchika kukaa benchLitakufa jitu dadeki
Acha tu,tangu ile mechi hawajakaa sawa, ushirikiana upo aisee mnadhani mnacheza na watu kumbe misukuleUmenena yani walisukwa sukwa mnoo
Simba ndio timu ya kwanza Duniani kupewa adhabu kwa kufanya vitendo vya kishirikina uwanjani.