Ametolewa hata dakika ya 60 hakufikaNasikia Elie Mpanzu kacheza dakika 70 bila kugusa mpira?
Hapa wana Simba tumepigwa.Ametolewa hata dakika ya 60 hakufika
🐕Piga hao makoloooooooooo
Hizo nane ni za woteRefa akiongeza dk 8 utopolo watapiga kelele ila hawaoni yakubu anavyopoteza muda
Kwahiyo mkuu umekasirika eeh?Aliyemwambia Kipa kuwa kupoteza muda ni dawa kamdanganya. Mungu hapendi kupoteza muda