FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

Kwa hiyo simba uwezo wake unaonekana wasipokamia? Akili za makolo bwana
Ndo furaha mmebaki nayo Simba akifungwa,huo mwiko ndo unawasumbua hamtulii mnarukia yasiyowahusu.
 
Karma is a bitch
Karma is a bitch.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka tobo la Aziz Ki kwa Mohammed Hussein na hili la Mbangula kwa Manula,nikumbushe mkuu
Huyo aziz kashakula matobo kama yote..au unataka picha? Na huyo jujui jiara ya kutosha unataka picha?
Au kwa sbb sisi huwa hatuoni kama ni habari maana mpira hauna macho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…