FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Hii mechi nilivyokuwa naisubiri kwa hamu imenitumbukia nyongo! Sina hamu...
Nashukuru Mungu sikuwa nimekata tiketi ningepata hasara kwa kutokwenda. Ila, nitaangalia tu kupitia TV na naitakia kheri timu yangu Yanga.
 
Makolo ndio ngazi yetu ya kubeba ubingwa wana point zetu 6 na hatuziombi tunazichukua kwa nguvu , tatu tunazichukua Leo.

Ninavyoijua Yanga kwa masifa Leo Mnyama atachinjwa hadharani na kisu butu na hakuna kusema Bismillah!

Makolokwinyo watalia sana Leo kwa kipigo Cha mbwa koko watakachopewa, nilimuona Mwanyeto Azam Tv akizungumzia kwa hasira ile mechi Kibu Simba alishinda na mwamba anajua uzembe wa Kila goli walilopata mbumbumbu!
Kibu D hana lolote wanamchosha bure kumjaza masifa wakati alibahatisha tu, leo atarukaruka tu kama maharage na hataonekana!!

Chonde chonde Leo nyuma iwe Diarra, Yaoyao, Bacca, Nondo na Job ukuta wa Berlin ambao takwimu za soka zinasema kuipasua ni lazima iwe uchawi wa Pemba tu!! Ni ukweli kuwa ukuta huu umeruhusu goli chache kwa msimu wa tatu Sasa!

Leo hapatoshi , mvua imekomaa ila kichapo kwa makolo kiko pale pale!
Utopolo wana points zetu 6
 
Hii mechi nilivyokuwa naisubiri kwa hamu imenitumbukia nyongo! Sina hamu...
Nashukuru Mungu sikuwa nimekata tiketi ningepata hasara kwa kutokwenda. Ila, nitaangalia tu kupitia TV na naitakia kheri timu yangu Yanga.
nifah mrembo kwanini usiniambie mapema ningekupitia tuende wote jamni
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.

Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.

Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Kama Khali ya hewa itaendelea kuwa hivi mpaka jion muda wa mpira tutegemee magoli mengi na ushindi kwa timu tishio zaidi Africa na ukanda wote Africa ya mashariki na maziwa makuu 🦁🦁🦁🦁
 
Matuta mawili Yanga watapata kupitia Max Nzengeli ambae kutokana na talent yake kubwa atakosa beki wa kumkaba Simba watamchezea rafu mbili za penati.

Na kwa vile Yanga tumeshasema hatutaki tena kuona wala kusikia ujinga wa marefa kujikosesha ulaji CAF kwa kuchezesha mpira hovyo Ili kuibeba Simba mbovu, Leo Mkapa refa akizungua tunagomea mechi tunarudi kambini, hatutaki ujinga Simba kupewa hadhi wasiyostahili kupitia mgongo wetu, hawa Makolokwinyo ni underdog, ni level sawa na timu ndogo zingine wasindikizaji kwenye ligi zote kinachowabeba ni promo na bahasha, Simba ni mabingwa wa kucheza nje ya uwanja na Leo Yanga hatutaki ujinga na hatutavumilia refa akiwabeba tunawaachia uwanja wa Mkapa wacheze wenyewe!!
Kweli weka takwimu za mechi tatu za mwisho tuone ukibonde wa simba kwa yanga na jinsi alivyobebwa.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.

Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.

Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
FB_IMG_1699171775072.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom