Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado haujasema 😃Maskinin akipata, ............................. Ni ushamba tu wa mashabiki husika kudhani kwamba timu yao ni bora kwa kuwa imeshinda kwa goli 5-1. Wanaojua mpira wanafahamu hilo si la ajabu ni suala la failed game plan kwa timu iliyoshindwa! Hata kama timu ikiwa bora namna gani, ikija na "inappropriate game plan" lazima iadhibiwe!! Kitaalam ni kwamba kocha wa Simba amekuja na game plan isiyo sahihi kwa mechi hii. Huwezi kulaumu wachezaji, huu ni mzigo wa kocha!!
Lakini pia haikuwa sahihi kwa kocha kumwanzisha Manula aliyekuwa majeruhi kwenye mechi kubwa kama hii!!
Tumecheza mkuuHusiziamini Sana camera za Azam. Unaweza ona ni foul kumbe sio. Chezeni boli Acha malalamiko.
Weka clip za refa akishabikia goli, kuna penati ya wazi kainyima Yanga kipindi cha kwanza, wachezaji wa Simba wakiguswa tu anapuliziwa filimbi halafu wa Yanga mtu mpaka ana ng'ang'ania mguu kwa mikono refa anapeta tu.Simba imefungwa lakini sio kimpira ! Ndio maana timu zetu za kitanzania hazifiki mbali.!
Kama refa anachezesha huku anashabikia magoli ujue huyo sio refa.
Haya mkuu [emoji23][emoji23] umiliki usio na faidaUkikaba kwa kuzia nafasi maana yake haumfati kumkaba mtu moja kwa moja anapokuwa na mpira badala yake munaondoa mianya ya muendelezo wa pasi za mashambuli na mnanyang'anya mpira pale ambapo adui amesogea zaidi na hana machaguo mengi ya kupeleka mpira.
Kwahiyi ni lazima adui aonekane kukaa na mpira kwa muda mrefu( umiliki mkubwa) ambao kimsingi unakuwa ni umiliki usio ma faida.
Maombolezo Fc mkaombeleze na hii ya kipigo cha mwana ukome, 😆😆😆 Watu wanalia huku nilipo huko vipi na wengine wamejifichaMlivyomumia leo wana Simba na Utopolo pia ilishawahi wakumba hivyo hivyooo...
So tunapokezana vijiti...
Nimeshangaa hata Mimi nikawaza labda Salim majeruhi.Hivi kweli kocha mechi kama hii unamuweka Manula kweli, kama siyo kututukanisha ni nini, dooh yani leo hatulali Haki ya nani
Ni ujinga kutokubali kushidwa na wako umezidi umekuwa upambavu.Huwezi ukalinganisha yanga na Al Ahly!! Tofauti ni kama ya usiku na mchana!! Nawapongeza yanga kwa dhati, lakini wao kujilinganisha na Al Ahly bado sana!! Acha Al Ahly hata wao kudhani ni bora zaidi ya simba siyo kweli. ila kwa leo game plan waliyokuja nayo imeipiku ile ya Simba!! Usisahau Ujerumani iliwahi kumfunga Brazili 7-0 tena akiwa kwao!! Hilo pekee halikuwafanya wao wawe bora kuliko Brazil japo kwa mechi hiyo walikuwa bora!!
[emoji23][emoji23][emoji23] wee nenda home unafika kabisaa, toa wasi wasi.Noma sana, pillars to home naona sifiki kabisa. Aibu hii
Kumbe nawe ni mwananchi 😃,kunywq fanta baridi hapo kwa mangi nitakuja kulipaWamenyweaaaaaa kila mmoja anapita njia yake saii🤣🤣🤣🤣
Yangaaaa
💪💛💛💛!
Hii imeenda 😁😁😁😁😂 wanajifarijiMaombolezo Fc mkaombeleze na hii ya kipigo cha mwana ukome, 😆😆😆 Watu wanalia huku nilipo huko vipi na wengine wamejificha
Tatizo ni kocha wala hakuna kingine, hatuoni mbinu za mwalimu kiwanjani zaid ya wachezaji kukimbiza upepo tuFukuza kocha au tatizo liko wapi?
Sawa babu[emoji1317]Kapumzike mjukuu. Hapa utaendelea kuumia tu. Ni mchezo tu usije ukajipa presha bure.
Kapumzike please [emoji16]
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaa 📌📌📌!Yani unakuta mtu ana niqoute anataka niendike akipendacho ili awe mtani wangu...sasa mimi nimekuja kubembeleza wa kutaniana nae?? Hahahah watuache bwana
Wewe ni mpumbavu mwerevu huwa anakubali kushidwa hata mara moja.Mlivyomumia leo wana Simba na Utopolo pia ilishawahi wakumba hivyo hivyooo...
So tunapokezana vijiti...
Chilabu ya wagogo hii 🤣Chimba chipoti chilabu [emoji23][emoji23]