FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Maskinin akipata, ............................. Ni ushamba tu wa mashabiki husika kudhani kwamba timu yao ni bora kwa kuwa imeshinda kwa goli 5-1. Wanaojua mpira wanafahamu hilo si la ajabu ni suala la failed game plan kwa timu iliyoshindwa! Hata kama timu ikiwa bora namna gani, ikija na "inappropriate game plan" lazima iadhibiwe!! Kitaalam ni kwamba kocha wa Simba amekuja na game plan isiyo sahihi kwa mechi hii. Huwezi kulaumu wachezaji, huu ni mzigo wa kocha!!

Lakini pia haikuwa sahihi kwa kocha kumwanzisha Manula aliyekuwa majeruhi kwenye mechi kubwa kama hii!!
Bado haujasema 😃
 
Simba imefungwa lakini sio kimpira ! Ndio maana timu zetu za kitanzania hazifiki mbali.!

Kama refa anachezesha huku anashabikia magoli ujue huyo sio refa.
Weka clip za refa akishabikia goli, kuna penati ya wazi kainyima Yanga kipindi cha kwanza, wachezaji wa Simba wakiguswa tu anapuliziwa filimbi halafu wa Yanga mtu mpaka ana ng'ang'ania mguu kwa mikono refa anapeta tu.
Ukiachana na ile penati je kuna goli lililofungwa ni la offside kati ya yale manne? Au kuna goli lipi limetokana na refa?
La mwisho refa nae ni binadamu, kama kuna vitu vya kuchekesha atacheka tu mfano ni hili la timu kubwa kufungwa kama JKT Tanzania vile lakini usisahau kuniwekea video ya refa akiwa anacheka hapa
 
Ukikaba kwa kuzia nafasi maana yake haumfati kumkaba mtu moja kwa moja anapokuwa na mpira badala yake munaondoa mianya ya muendelezo wa pasi za mashambuli na mnanyang'anya mpira pale ambapo adui amesogea zaidi na hana machaguo mengi ya kupeleka mpira.

Kwahiyi ni lazima adui aonekane kukaa na mpira kwa muda mrefu( umiliki mkubwa) ambao kimsingi unakuwa ni umiliki usio ma faida.
Haya mkuu [emoji23][emoji23] umiliki usio na faida
 
Huwezi ukalinganisha yanga na Al Ahly!! Tofauti ni kama ya usiku na mchana!! Nawapongeza yanga kwa dhati, lakini wao kujilinganisha na Al Ahly bado sana!! Acha Al Ahly hata wao kudhani ni bora zaidi ya simba siyo kweli. ila kwa leo game plan waliyokuja nayo imeipiku ile ya Simba!! Usisahau Ujerumani iliwahi kumfunga Brazili 7-0 tena akiwa kwao!! Hilo pekee halikuwafanya wao wawe bora kuliko Brazil japo kwa mechi hiyo walikuwa bora!!
Ni ujinga kutokubali kushidwa na wako umezidi umekuwa upambavu.
 
Ile ya uto ilikuwa Simba 6- 0 Yanga. Mwewnyekiti wa klabu ya Yanga enzi hizo alikuwa ni maarufu sana, jina lake ni TABU MANGARA!! Baada ya dk 90 mzee Tabu Mangara hakuweza kusimama kutoka kwenye kiti chake!! hakuamini kilichotokea!!
 
Back
Top Bottom