MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Niumie Wakati Nishakung'uta 5 Juzi tu HapoGongowazi unaumia pande zipi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niumie Wakati Nishakung'uta 5 Juzi tu HapoGongowazi unaumia pande zipi...
Kwani niliondoka?Naona bwashee umerudi
🤣😂😂😂😁😁😁Humjui vzur huyo, tuachie sie tunaomjua dyadyaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nenda juu kabisa kaone alisemaje.
Hahaha basi tuache sisi leo tupo mawindoniNiumie Wakati Nishakung'uta 5 Juzi tu Hapo
Bado hujasema...! Yaani hapo badoHuyu Kapombe kila mpira anaopewa yeye huwa anawaza kumwaga maji tu, kibaya zaidi huwa anapiga tu bila kujua itakutana na nani huko kwenye 18.
Ubunifu zero kabisa.
Muulize kwanza anatumia WhatsApp gani.Si una watsup? Kule kwny status zako angalia chini utaona sehemu imeandikwa channels utaaangalia hapo utakuntana na chanels za mitimu mikubwa mikubwa...na kina Samia suluhu pia wapo na Simba utaikuta humo then utafollow..nadhani haina link..
Huu msemo wa kimama bado kuna watu wanatembea nao?Bado hujasema...! Yaani hapo bado
Oooh hapo sawa ahsantee, [emoji120][emoji120]Si una watsup? Kule kwny status zako angalia chini utaona sehemu imeandikwa channels utaaangalia hapo utakuntana na chanels za mitimu mikubwa mikubwa...na kina Samia suluhu pia wapo na Simba utaikuta humo then utafollow..nadhani haina link..
Natumia ya kawaida.Muulize kwanza anatumia WhatsApp gani.
Kama huja update huzioni...na kama na ww una watsup GB huwezi ona pia...Oooh hapo sawa ahsantee, [emoji120][emoji120]
Yaani mpaka UsemeHuu msemo wa kimama bado kuna watu wanatembea nao?
Natumia ya kawaida mie,Kama huja update huzioni...na kama na ww una watsup GB huwezi ona pia...
Simpendi Onana...Simba mmenipa raha sana leo...
Hasa akifunga Onana...
Leo tena Luis kaosha nyota basi moyo kwatuuu...
Nimekumbuka nimempa nb...hapo chiniMuulize kwanza anatumia WhatsApp gani.
Sishangai. Kama Rais WA timu msomi aliwahadithia Viongozi Wakubwa SA kuhusu goli tano sembuse wewe?.Niumie Wakati Nishakung'uta 5 Juzi tu Hapo
WhatsApp Channel ya Simba wanachelewa sana Ku update aiseeSi una watsup? Kule kwny status zako angalia chini utaona sehemu imeandikwa channels utaaangalia hapo utakuntana na chanels za mitimu mikubwa mikubwa...na kina Samia suluhu pia wapo na Simba utaikuta humo then utafollow..nadhani haina link..