FT | Simba SC 2-1 Ihefu FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Saa 1:00 Usiku| Oktoba 28, 2023

Huyu kipa mechi ya tatu mfululizo anafungwa magoli yanayofanana angekuwa mwarabu ungesikia wachambuzi wanapiga kelele Ila benchi la ufundi Lina matatizo makubwa.
Ni kweli.. AYOUB angesemwa sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…