uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Nimecheka sanaHakuna namna Azam itamfunga Simba hakuna kwamba ni kwa kupanga au battle ya uwanjani Azam mayai sana kuanzia wachezaji kocha hadi mashabiki wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sanaHakuna namna Azam itamfunga Simba hakuna kwamba ni kwa kupanga au battle ya uwanjani Azam mayai sana kuanzia wachezaji kocha hadi mashabiki wao
Tunalamba leoLitakufa jitu
Leo mnapigwaTunalamba leo
Litakufa jituTunalamba leo
Japo kushabikia mno mpira wa kibongo kunaweza kukufanya goigoi,ila naunga mkono hoja mnyama ashinde.Japo siangalii mpira wa bongo, ila mnyama aji pigie tu
Kaka sija angalia hata mechi 1, sioni hata faida au hamu ya kufanya hivyo.Japo kushabikia mno mpira wa kibongo kunaweza kukufanya goigoi,ila naunga mkono hoja mnyama ashinde.
Tulia wewe!Refa ni Arajiga, tobaaah huyu ametumwa kuja kuivuruga Simba.
Silipendi hili li macho kengeza, shabiki lia lia wa utopolo,
Mxxxxxiiiiiieeeeew
Haina faida kabisa mkuuKaka sija angalia hata mechi 1, sioni hata faida au hamu ya kufanya hivyo.
Mechi imeahirishwa uwanja umejaa majiTafadhali sana. Msiwe mnaazisha uzi kama hamuwezi kutupa update.
Mpaka sasa sioni vikosi humu