Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli yanga wanaharibu sana mpira wetu.Uto kila mkija na hoja za matawi ya Simba mnaumbuka. Jifunzeni jinsi mechi za ushindani zilivyo.
Yaani hapa haujui nani atashinda mechi, huo ndio utamu wa football. Mnatukwaza sana.
Kwahiyo Kama kacheza fault watu wakae kimya?Wameanza kuliaView attachment 3248183
Kwahiyo Kama kacheza fault watu wakae kimya?
Huwezi amini mm mood sina kabisa na saizi naangalia taarifa ya habari nshazoea mechi za timu daraja la kati na chiniKama huangalii mpira live leo pole aiseee BONGE LA MECHI SO FAR 🙌🙌🙌
Inabidi wahame hii ligi sio kwa ushindi wa tano tanoKwakweli yanga wanaharibu sana mpira wetu.
Marefa1/4 final cafcc, hii ndiyo simba inayoenda kucheza na Almasry?
Hii simba inayocheza leo siyo timu ya kutegemea kushinda mechi yoyote.
Inawezekana wanabebwa tu na jina la simba
Jana kipa anaruka kama hana miguu...Inabidi wahame hii ligi sio kwa ushindi wa tano tano
KishenziHivi mbona zile display za matangazo ya electronics zimetolewa?
Watadinda kisha italalaHatimaye leo Azam kawadindishia madunduka. Twende kazi 😝😝😝😝
Huyu nae mnafki sana,tushamjua yeye ni thimbaWameanza kuliaView attachment 3248183
KabisaaWasipo sajili kipa na back wa kulia, wataendelea kuishia hapo hapo wanapoishia
Sheikh mpanzu ...namuona alikuwa mbele anaongoza swala ....