Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kuna wachezaji Simba ni wajinga hadi inakera. Utadhani wameokotwa Tandale vile. Sijui kwanini hawaoni umuhimu wa kushinda kwa magoli mengi wanapokutana na hizi timu dhaifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mpuuzi mmoja. Ana kitete sana, kwa kifupi hamna kitu.Anakosa kosa sana.
Mahali pakufunga anatoa assist, mahali pa kutoa assist anataka kufunga!!
Wangefika ila Simba ina ugonjwa wa kuridhika.Nilisema leo kuna 4+ hapa
Umeanza lini kuitakia heri....na tushasema hatuna majirani 🤨
Hana cha muda huyo. Mpira sio mchezo wa kutoa muda kwasababu alikotoka alikuwa anacheza mpira pia.Tumpe muda