Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,365
- 2,842
Kabisa yaniHakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.
Yanga inavyokamiwa huwezi amini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaniHakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.
Yanga inavyokamiwa huwezi amini!
Mgunda anacheza namba ngapi uwanjani, boli biriani linapigwa magoli yote yamenyooka hakunalawamaMlitegemea nini kwa Mgunda?!
Unataka wachezaji wavunjwe miguu kama mlivyokuwa mnataka kufanya kwenye derby?Hakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.
Yanga inavyokamiwa huwezi amini!
FADLU fundisha sasa Clinical finishing..
Washambuliaji wapo ila wanakosa vitu vitatu. Utulivu, ushirikiano na uchu. Fadlu afanyie kazi hayo maeneo matatu.Naludia tena Simba ya mwaka huu imeimarika sana changamoto ndogo tu ipo kwenye umaliziaji tukirekebisha hapo..... Gongowazi hatokuwa tena mshindani wetu tutaanza kuangalia namna gani tunaweza kujiunga na Ligi ya La Liga.
Mkuu nikiona id yako nakumbuka mambo ya "KIJILO KAJIFUNGUA"Huyu jamaa anapambana sana
Kabisa mkuuWashambuliaji wapo ila wanakosa vitu vitatu. Utulivu, ushirikiano na uchu. Fadlu afanyie kazi hayo maeneo matatu.
chura pole kwa kukamiwa jitahidi kutumia mafutaHakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.
Yanga inavyokamiwa huwezi amini!
Mbege zinakusumbua mekuInakuuma kama umemfumania mumeo vyura mnashida sana
Kula Chuma HikooooMbege zinakusumbua meku
Kapombe...Statistical Mukwala ndio man of the match
Hakuna cha man of the match hapo ndugu wamekutana haoKapombe...
Assist and goal
Hapo ndugu yenu mgunda kawaachia basi mnajiona sana hiyo combination play mbona jumamosi hatukuiona?Simba hakuna mchezaji wa kumuweka benchi ngoma.
Combination play kwa simba ni ngumu hasa kwenye final third.
Wachezaji wa simba waache ubinafsi inamaana kocha halioni hili.