Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kapombe ana assist ya goli gani?Kapombe...
Assist and goal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapombe ana assist ya goli gani?Kapombe...
Assist and goal
Afisa ubashiri ushaliwa hela ya kumnunulia fungu la dagaa mchele usipokopa songesha leo utalala njaaHakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.
Yanga inavyokamiwa huwezi amini!
la juzi lililo watoa wazee mafichoniKapombe ana assist ya goli gani?
All the best Namungo piga hao wazee fc
Namungo piga makolo hao
View attachment 3134872
#nguvumoja#...
UPDATES...
VIKOSI VINAVYOANZA LEO.
View attachment 3134907
View attachment 3134908
updates...
DK 5'
Simba wanapata goli safi la kuongoza kupitia kwa Shomari Kapombe.
1-0
DK 10'
Game On
Simba wanamiliki ball kwa kasi kali
1-0
DK 14'
Simba wanapata free kick nje. kidogo ya lango la Namungo FC.
Anaipiga Joshua Mutale
inaokolewa na Namungo.
DK 19'
Namungo wanapata free kick inapigwa inatolewa kwa kichwa na Chemalone, unarusha unapotea
1-0
DK 23'
Awesu Awesu anapata injury kidogo
mpira ulisamama kidogo.
unaendelea sasa
1-0
DK 26'
Joshua Mutale anafanya shambulizi kal hapa.
Anakusanya kijiji kwenye lango la Namungo, ila hafanikiwibkuutia kambani.
DK 27'
Simba wanapata free kick.
1-0
DK 31'
Sub kwa Simba! anatoka Awesu aliyepata majeruhi anaingia Ahoua.
DK 33'
Goooooooooooal, Jean Charles Ahoua anaipatia Simba goal la pili.
Akipokea assist nzuri sana kutoka kwa Shomari Kapombe.
Ni Chuma cha pili.
2-0
HT
Simba 2- 0 Namungo.
=====================
Kipindi cha Pili.
DK 46'
Mpira unaendelea bado umiliki uko kwa Simba.
2-0
DK 56'
Sub kwa Simba.
Mutale Out
DK 59'
Simba wanapata kona.
haielti madhara kwa wapinzale
Namungo msituangushe
Kikosi kazi1st eleven kwako ni kitu gani?
Inaonekana hata nilichoandika hujasoma hakuna hata sehemu moja nimeisifia simba sasa habari za jumamosi sijui unazitoa wapi nenda temeke kwa koyoko ukamuulize habari za juma mosi.Hapo ndugu yenu mgunda kawaachia basi mnajiona sana hiyo combination play mbona jumamosi hatukuiona?
Sasa kolo unalia nini?Inaonekana hata nilichoandika hujasoma hakuna hata sehemu moja nimeisifia simba sasa habari za jumamosi sijui unazitoa wapi nenda temeke kwa koyoko ukamuulize habari za juma mosi.