Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Naludia tena Simba ya mwaka huu imeimarika sana changamoto ndogo tu ipo kwenye umaliziaji tukirekebisha hapo..... Gongowazi hatokuwa tena mshindani wetu tutaanza kuangalia namna gani tunaweza kujiunga na Ligi ya La Liga.