Acha kabisa. Simba kuanzia nyuma mpaka midfield hakuna shida kubwa. Tatizo linaanzia hapo kwenye viungo washambuliaji.Siku SIMBA ikipata mafundi 2 -3 Pale mbele...mbona mraba po kwa huyu FADLU
kumbe unaiangalia hilo tu linatoshaAcha kusumbua mods na mechi haina mvuto
Ahua ⚽NASIKIA MAKELELE KUNA NINI HUKO
Mgunda sio mdhamini wa NamungoMlitegemea nini kwa Mgunda?!
Mafundi kwenye position ipi forward au second striker?Siku SIMBA ikipata mafundi 2 -3 Pale mbele...mbona mraba po kwa huyu FADLU
Unaamini kabisa mutale anafundishika?!FADLU fundisha sasa Clinical finishing..
ZawadiAhua [emoji460]
Simba 2-0 namungo
Sasa unatazama huku lengo lako likiwa ifungwe halafu ndiyo biashara tunaimaliza mapema hivi unadhani utakuwa na raha lazm uone mpira unaboaKutazama mechi za 5imba inaitaji moyo, wamepooza sana km vile hawana matumaini yoyote yale na ubingwa
Mmeanza sasa😃😃MUSSA KAMARA anaweza kucheza kabisa EPL