Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Duuh!Kwahiyo wewe unataka Pamba Kila ikicheza na Yanga ishinde ndo haki itakua imetendeka sio?
EPL ya uru kishmundu?MUSSA KAMARA anaweza kucheza kabisa EPL
Vyura wanakanyagana, hawapendi hizi habari.Naludia tena Simba ya mwaka huu imeimarika sana changamoto ndogo tu ipo kwenye umaliziaji tukirekebisha hapo..... Gongowazi hatokuwa tena mshindani wetu tutaanza kuangalia namna gani tunaweza kujiunga na Ligi ya La Liga.
.....Kututengenezea njia ya kupata matokeo kwa urahisi.Mlitegemea nini kwa Mgunda?!
Inakuuma kama umemfumania mumeo vyura mnashida sanaNizime TV sasa hapa hakuna mechi
Utajua HujuiHakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.
Yanga inavyokamiwa huwezi amini!