View attachment 3134872
#nguvumoja#...
UPDATES...
VIKOSI VINAVYOANZA LEO.
View attachment 3134907
View attachment 3134908
updates...
DK 5'
Simba wanapata goli safi la kuongoza kupitia kwa Shomari Kapombe.
1-0
DK 10'
Game On
Simba wanamiliki ball kwa kasi kali
1-0
DK 14'
Simba wanapata free kick nje. kidogo ya lango la Namungo FC.
Anaipiga Joshua Mutale
inaokolewa na Namungo.
DK 19'
Namungo wanapata free kick inapigwa inatolewa kwa kichwa na Chemalone, unarusha unapotea
1-0
DK 23'
Awesu Awesu anapata injury kidogo
mpira ulisamama kidogo.
unaendelea sasa
1-0
DK 26'
Joshua Mutale anafanya shambulizi kal hapa.
Anakusanya kijiji kwenye lango la Namungo, ila hafanikiwibkuutia kambani.
DK 27'
Simba wanapata free kick.
1-0
DK 31'
Sub kwa Simba! anatoka Awesu aliyepata majeruhi anaingia Ahoua.
DK 33'
Goooooooooooal, Jean Charles Ahoua anaipatia Simba goal la pili.
Akipokea assist nzuri sana kutoka kwa Shomari Kapombe.
Ni Chuma cha pili.
2-0
HT
Simba 2- 0 Namungo.
=====================
Kipindi cha Pili.
DK 46'
Mpira unaendelea bado umiliki uko kwa Simba.
2-0
DK 56'
Sub kwa Simba.
Mutale Out
DK 59'
Simba wanapata kona.
haielti madhara kwa wapinzale