FT: Simba SC 3-0 Namungo FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.10.2024

Hakuna uhalisia kabisa ktk hizi game za Simba.. yani sijui ni hongoo...
Upumbavu mtupu.

Yanga inavyokamiwa huwezi amini!
Afisa ubashiri ushaliwa hela ya kumnunulia fungu la dagaa mchele usipokopa songesha leo utalala njaa
 
Yanga wana hasira sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wachawi tu
 
 
Hapo ndugu yenu mgunda kawaachia basi mnajiona sana hiyo combination play mbona jumamosi hatukuiona?
Inaonekana hata nilichoandika hujasoma hakuna hata sehemu moja nimeisifia simba sasa habari za jumamosi sijui unazitoa wapi nenda temeke kwa koyoko ukamuulize habari za juma mosi.
 
Nilisema leo kuna 4+ hapa
 
Inaonekana hata nilichoandika hujasoma hakuna hata sehemu moja nimeisifia simba sasa habari za jumamosi sijui unazitoa wapi nenda temeke kwa koyoko ukamuulize habari za juma mosi.
Sasa kolo unalia nini?
 
Kuna wachezaji Simba ni wajinga hadi inakera. Utadhani wameokotwa Tandale vile. Sijui kwanini hawaoni umuhimu wa kushinda kwa magoli mengi wanapokutana na hizi timu dhaifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…