Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Maskini Simba wanaliwa vishundu leo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P Diddy alikutwa na chupa zaidi ya 1,000 za vilainishi.Hakuna jinsi
Ubaya ubwela
Wana yanga wote popote mlipo naomba tuungane wote kwa pamoja kuishangilia timu ya
Al ahly Tripoli hii ndio timu yetu kule Libya
Ubaya ubwelaaaaa
Mkuu usiniponze maana imekuja 3,500,000 nikiweka 2M naenda kushinda Tabata 🤣Weka mil 2 kabisa mkuu leo amejitahidi sana drw ya magoli byebye
Weka simba anashinda goli 3 halafu weka 20000 utafurahi baada ya dakika 90 kuishaMkuu usiniponze maana imekuja 3,500,000 nikiweka 2M naenda kushinda Tabata 🤣
Hao walibya wameshindwa kufunga kwao waje washinde huku?Ukiambiwa usifanye fujo ....uka kaidi utapigwa tu
Nani na sema makolo mupigwe tu
Wazawa wapo wanne tu!?? Ama kweli uzalendo aiseeKibu D ndaniView attachment 3103261
Tunabeba kabisaFika fainali upate medali sasa
😁🤣🤣Tunabeba kabisa
Kosi la maangamiziتشكيلـة الزعيـم لمواجهـة سيمبـا 🇳🇬⚔️View attachment 3103311