FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Unaizidi nini cha maana hiyo Ahly Tripol hata nikubaliane na wewe kuwa ni ndogo SANA compared to Yanga Sc? Maana ni moja kati ya team kubwa huko Lybia kama ilivyo Yanga Sx hapa Tz, makombe ya ndani ya Ligi imechukua sana kama ilivyo kwa Yanga Sc hapa Tz, likija swala la kimataifa wakati Ahly Tripolo inaingia nusu fainali wewe ulikuwa na miaka 24 hujanusa hata makundi, Pesa imekuzidi mbali sana beyond maelezo.


umeizidi nini hata useme ni ndogo sana tena saaaana?

NJOO NA FACTS.
Ubishi unnecessary.

Kifupi team zetu kwa sasa ziko vizuri.

Azam wanapesa, ila wakoje?
wameshinda mara ngapi kombe la ligi kuu??
 
Ubishi unnecessary.

Kifupi team zetu kwa sasa ziko vizuri.

Azam wanapesa, ila wakoje?
wameshinda mara ngapi kombe la ligi kuu??
Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka kueleweshwa, yoyote atakayenieleza ni Tripol ni ndogo katika aspect ipi inapokuwa compared to Yanga Sc, nitakubaliana nae.
 
Afu na yeye Simba anaitakaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkataba wake ni mrefu sana.

Simba hatutaweza kuvunja mkataba wake wa karibia $1M
 
Una raha gani kufurahia Loser cup Kombe la kiduwanzi?
Watu weuweeeeeeeeeeeeee!!!!!
Poleeee kwa kutesekaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamepata advantage kubwa sana kutangulia goli moja tena away, wachezaji wenye akili na kocha mwenye akili ni kuhakikisha mipira haikai ndani 18 yako ili kipindi cha kwanza kiishe kwa kuongoza. Ila upuuzi wao umewaponza wanastahili kutolewa kabisa wakajifunze kukomaa kiakili
Kweli pale ilikuwa jamani hapa tunakaza pumbu mpaka half time game iwe 1-0. Wacha wakalaumiane kambini.
Sasa sie tunasubiri mechi za maana hapo kwa mkapa.
 
Kweli pale ilikuwa jamani hapa tunakaza pumbu mpaka half time game iwe 1-0. Wacha wakalaumiane kambini.
Sasa sie tunasubiri mechi za maana hapo kwa mkapa.
Huna baya unaongeaga fwaktii japo kwa matusi
 
Back
Top Bottom