Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambalo kina mama nyinyi mliambulia medali.Uzuri ni kombe la kinamama
Nunua bia zote na mhudumu. . Nyuzi za ujinga zote zimedisapia (disappear)Nilikuwa kijijini sana sikuwa hewani. Kwa furaha niliyonayo nimeamua kunywesha bia kijiji kizima
Na Ikulu walifuata nini?. 🤷Fainali mlifuata nini?
Ubishi unnecessary.Unaizidi nini cha maana hiyo Ahly Tripol hata nikubaliane na wewe kuwa ni ndogo SANA compared to Yanga Sc? Maana ni moja kati ya team kubwa huko Lybia kama ilivyo Yanga Sx hapa Tz, makombe ya ndani ya Ligi imechukua sana kama ilivyo kwa Yanga Sc hapa Tz, likija swala la kimataifa wakati Ahly Tripolo inaingia nusu fainali wewe ulikuwa na miaka 24 hujanusa hata makundi, Pesa imekuzidi mbali sana beyond maelezo.
umeizidi nini hata useme ni ndogo sana tena saaaana?
NJOO NA FACTS.
Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka kueleweshwa, yoyote atakayenieleza ni Tripol ni ndogo katika aspect ipi inapokuwa compared to Yanga Sc, nitakubaliana nae.Ubishi unnecessary.
Kifupi team zetu kwa sasa ziko vizuri.
Azam wanapesa, ila wakoje?
wameshinda mara ngapi kombe la ligi kuu??
Nimekuja tuu chapuuu naondoka....😀😀😀😀😀shida hapakaliki...kalpana katunze ndoa kwanza huo ubaya ubwela utakurudia wewe...😂
Utavavaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niacheni [emoji23]
Afu na yeye Simba anaitakaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Mabululu tunamnunua [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakusalimia dadaHakuna cha kutakiana heri wala nini, kila mmoja ashinde mechi zake na kwa mbinu zake.
Watu weuweeeeeeeeeeeeee!!!!!Una raha gani kufurahia Loser cup Kombe la kiduwanzi?
Kweli pale ilikuwa jamani hapa tunakaza pumbu mpaka half time game iwe 1-0. Wacha wakalaumiane kambini.Wamepata advantage kubwa sana kutangulia goli moja tena away, wachezaji wenye akili na kocha mwenye akili ni kuhakikisha mipira haikai ndani 18 yako ili kipindi cha kwanza kiishe kwa kuongoza. Ila upuuzi wao umewaponza wanastahili kutolewa kabisa wakajifunze kukomaa kiakili
Ila mtani nilikwambia...hukuongea ki mpira siku ile...😃😃😃😃Nipeni
Mbavu zinaumaa hukuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ambalo kina mama nyinyi mliambulia medali.
Huna baya unaongeaga fwaktii japo kwa matusiKweli pale ilikuwa jamani hapa tunakaza pumbu mpaka half time game iwe 1-0. Wacha wakalaumiane kambini.
Sasa sie tunasubiri mechi za maana hapo kwa mkapa.
Aaaaah ndo yulee wa bil 4? LolMkataba wake ni mrefu sana.
Simba hatutaweza kuvunja mkataba wake wa karibia $1M