Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliropokwa na manenooIla mtani nilikwambia...hukuongea ki mpira siku ile...😃😃😃😃
Kolo unatafuta bwana kwa nguvu, leta ushahidi niliposema hao walevi wangewafungaUmeshabadilika. Unakuwa kama yule samaki mwenye jinsia mbili akishindwa kupanda anapandwa. Wewe si ndio ulikuwa unasema Simba mbovu itafungwa na hao wajomba zako waarabu
Kweli pale ilikuwa jamani hapa tunakaza pumbu mpaka half time game iwe 1-0. Wacha wakalaumiane kambini.
Sasa sie tunasubiri mechi za maana hapo kwa mkapa.
😂😂😂😂Afu na yeye Simba anaitakaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnyama akicheza taifa international match naweka mapumbuz yangu +mke wangu lazima simba aungurume.Huna baya unaongeaga fwaktii japo kwa matusi
Ah wee wacha tuone sasa group stage itakuwajeWamukutana na team kubwa jaman msiwalaumu. yanga angekutana na hii team anajuta
Halina mjadala hilo...😃😃Mnyama akicheza taifa international match naweka mapumbuz yangu +mke wangu lazima simba aungurume.
Sasa mkamkande azam
Kombe la mbuzi ni uchafu hata kulitaja ni aibu🚮🚮Watu weuweeeeeeeeeeeeee!!!!!
Poleeee kwa kutesekaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ah wee wacha tuone sasa group stage itakuwaje
Yanga Jana wazawa walikuwa wangapi?hakuna kubebana kwa kigezo cha kipuuzi cha uzawa,wapambane waonyeshe uwezo wao kocha atawaona na kuwapanga.Wazawa wapo wanne tu!?? Ama kweli uzalendo aisee
Hamna kocha muleSikuwahi kujua kama Fadlu ni kocha mjinga hivi, hii risk ya kuanza kulinda goli (tena moja) zikiwa zimebaki dakika nyingi hivi maana yake nini?
Yani team iliyokuwa imeushika mchezo ianze kushikilia bomba kwa dakika zaidi ya 10?
Zile sub zake za kuingiza mabeki na viungo wakabaji tupu, ilibaki kidogo sana tulie leo.Hamna kocha mule
Ile ya mabululu ingeingia dah😀Zile sub zake za kuingiza mabeki na viungo wakabaji tupu, ilibaki kidogo sana tulie leo.
Iingie afu umejaza wakabaji vile😂Ile ya mabululu ingeingia dah😀
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣Nikiwa Mtanzania mwenye asili ya kiarabu tokea pale Tripoli Libya. Nawaombea ushindi timu yetu Al Ahly Tripoli ushindi. Hao wengine lolote liwakute. Uzuri tutazika hapahapa...
Naitwa Eliona Rwezahura kutoka Biharamulo, Naitakia ushindi club yangu Al ahly tripoli. Natuma salamu kwa Godwin Rwechungura akiwa Muleba na Mujuni Tibaijuka wakiwa Muleba. Ujumbe Tripoli Nguvu mbili
Siku ile niliongea kisoka ila siku ile mlizingua, mlitafutwa haswa.Ila mtani nilikwambia...hukuongea ki mpira siku ile...😃😃😃😃