Mamelody wameshikiliwa bomba na supersport mpaka sasa ni 1-1
Mechi ikiisha hivyo utaona baadaye vijana wa Mwakalebela wakihamasika kuwa nao wanaweza kupata matokeo kama hayo
... π£οΈ πΌπππ½πΌ ππΌ ππΌππππ
Tuweke akiba ya maneno βοΈ
"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain πΉπ³ utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"
Full β πΉπ³ Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________
"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"
Full β Yanga 3 - 1 Mazembe π¨π©
Full β π¨π© Mazembe 0 - 1 Yanga
Full β Yanga 2 - 0 US Monastir πΉπ³
1. Young Africans πΉπΏ βοΈ
2. US Monastir πΉπ³ βοΈ
3. Stade Malien π²π±
4. TP Mazembe π¨π©
ποΈ Final (CAF-CC).
_________________________________
"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad π©πΏ bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria π©πΏ, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"
"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"
Group stage final ;
1. πͺπ¬ Al-Ahly Cairo βοΈ
2. πΉπΏ Young Africans SC βοΈ
3. π©πΏ CR Belouizdad
4. π¬π Medeama
_______________________________
"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"
Full β Yanga 4 - 0 CR Belouizdad π©πΏ
____________________________
"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns πΏπ¦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"
Full β Yanga ? - ? Mamelodi πΏπ¦ ...