Yanga wapo Egypt au una ongelea Yanga Princes?Viongozi wenu si ndo wamewapokea Galaxy mnajitoa akili au
Yanga kachaza jana, usimuangushie jumba bovu.Simba leo inacheza na Timu Tatu..
1.Wyda
2.Galaxy
3.Yanga
Kwahyo nguvu zinahitajika..
Wachezaji wasituangushe
We naye Punguani sioMambo yanajirudia Tena..
View attachment 2922109
"Kachaza"Yanga kachaza jana, usimuangushie jumba bovu.
Kwani walienda wote???Yanga wapo Egypt au una ongelea Yanga Princes?
Yanga kaingiaje tena hapo?Yanga msijisahaulishe mmegongwa kimoja cha mbwa....
Endeleeni hivyo hivyo baadae mtamtafuta mchawiKwani walienda wote???
Natuma chalamu kwa dada yangu nchanchi, njoma yangu nchanchi, changanchi yangu nchanchi.Tuma salamu kwa watu watatu
Nduki nyingi."Kachaza"
Shindwa pepoSimba 0-2 Galaxy
FT
Matako weyeSimba 0-2 Galaxy
FT
Kwa hiyo mimi umeaniacha Mtani?