Tumejipataaa haswaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aunt Leo tumejipata [emoji3]
Kwani wee uto umewahi mfunga nani kati ya hao uliotaja?Hizo goli 6 unamfunga Mamelodi au Al Ahaly? Hilo ndio la kujiuliza, hao wacheza Makhirikhiri Wana rank gani?
Mwanangu kipenΕΊi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hehe bado Hamjaongea vizuri π€£π€£Niache mbwaa weweπ€£π€£
Mmevaa hirizi
Kwahio leo utagawa matako bure bure hapo river sideTumejipataaa haswaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ankoli wako alitaka kunipora cm kisa nimevurugwa napigia wana utopolo na kuwatukana, nkamjibu kwa kifupi.
"Kati ya wee na simba nani alimkuta mwenzake kwangu?, nijie kwa password wee ba tamu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapoaa huyo akat nae ni shabiki wa Simba, huo ustaarabu akiweza yeye inatosha mie aniachee leo kazi yangu kuponya wagonjwa wanaoteseka..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amefunga?F. Mayele 73', 90+1'
Majini yamemuachia huyu topolo
Jamani mbona tumefanana majinaMwanangu kipenΕΊi
Haha hajawahi na hawawezi..Kwani wee uto umewahi mfunga nani kati ya hao uliotaja?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaaa au?
πππYani wew kichwa chako umuua Kwa presha ankowanguTumejipataaa haswaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ankoli wako alitaka kunipora cm kisa nimevurugwa napigia wana utopolo na kuwatukana, nkamjibu kwa kifupi.
"Kati ya wee na simba nani alimkuta mwenzake kwangu?, nijie kwa password wee ba tamu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapoaa huyo akat nae ni shabiki wa Simba, huo ustaarabu akiweza yeye inatosha mie aniachee leo kazi yangu kuponya wagonjwa wanaoteseka..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..Yule chama apewe kiwanja chanika ekari 100
Ndo aliyefunga ila wamefungwa nyumbani na kibonde mwenzake na wametoka woteAmefunga?
Ndo aliyefunga ila wamefungwa nyumbani na kibonde mwenzake na wameAmefunga?
Pole sana mkuu,cha msingi furaha ipo maana ndo inayoponyeshaSanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja ππππ