Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Lolote Baya liwakute makolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana wallah. Ukweli anujua kwamba mnyama anashinda kwa kishindo ila kwa makusudi anataka kuwaingiza watu chaka ili ambutue muhindi peke yake.Nawe ni mjanja unajua jinsi ya kula na kipofu.
Lengo lako tushalijua ni kwamba unataka umpune muhindi peke yako so unatoa mkeka feki ili uwaingize chaka wenzako.
Bahati mbaya na wenzako pia wanajua kutafsiri mambo, hawabeti mpaka waone mkeka wako.
Wewe wasemaUshaangushwa tayari
Simba 0-2 Galaxy
FT
Mimi nimesema kutoka hapa 'Simba kapakatwa PUB'Wewe wasema
Yanga anahusika nini pambaneni mmeanza malalamiko mapemaSimba leo inacheza na Timu Tatu..
1.Wyda
2.Galaxy
3.Yanga
Kwahyo nguvu zinahitajika..
Wachezaji wasituangushe
Tuma salamu kwa watu watatuNaitwa Dotto kutoka Nyakanazi. Naitakia Jwaneng Galaxy ushindi wa goli mbili bila.
Ujumbe: Ushabiki wa mpira wa miguu hauna mipaka.
Viongozi wenu si ndo wamewapokea Galaxy mnajitoa akili auYanga anahusika nini pambaneni mmeanza malalamiko mapema
Karibu unyamani mkuu, huku hamnaga shobo kama kule kwa vyura lia lia 😁
Hii mvua ya muda..tayari kazi ishaisha
wameshindwa kuwapasa nyiny washamba washamba wataweza kwa Simba mzee Simba ni lidudeee likubwa sanaLeo mikia fc lazima wapapaswe
UsiogopeMshaanza mambo yenu