Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hata mie naona. ๐๐๐Bado muda upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mie naona. ๐๐๐Bado muda upo
Hata mie naona. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yamekua haya tena mkuu? [emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuseme tu utopolo mmeshinda mechi na sio ubingwa.
Mikia leo wanapigwa kama mbwa koko....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Piiiiga mikiaaa
Sent from my SOV34 using JamiiForums mobile app
Ili iweje wakati ushindi ni jadi yetuKesho kijani zitatawala mitaanii
Katika siku niliamini tunapiga chura kwa asilimia ๐ฏโ ni leo wakuu nimebeti na my husband dah Elfu kumi yangu inaondoka kimasihara๐Soseji moja na chungwa
Ndo wanachosubiria hapa. ๐Kwa kupata droo au
๐๐Tuseme tu utopolo mmeshinda mechi na sio ubingwa.
Ili iweje wakati ushindi ni jadi yetu
Ngoooojaa....Samia tupe katiba mpya
Katika siku niliamini tunapiga chura kwa asilimia ๐ฏโ ni leo wakuu nimebeti na my husband dah Elfu kumi yangu inaondoka kimasihara๐
Hahahaaa. Naona yale mashairi yake hana hamu nayo tena. ๐๐๐Ngoooojaa....
Hebu tuambie shozniga yupo wapi kwa sasa?