FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Satoh Hirosh nakusalimia kwa jina la jamhuri ya muungano, Itikiaa kipigo kiendeleeee.....
[emoji1787][emoji1787]..heshima yako mkuu
Leo wewe tamba Tu,hakuna namna

Salute kwako mtani
JamiiForums440453615.jpg
 
Nilivyomuona Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan nikajua tu tayariii lishakufa jitu, Sijui nyie macho yenu yaliona kama yangu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji617][emoji617][emoji617][emoji172][emoji169]
 
Utaona tofauti ya mapafu ya kijana TUISILA na wazee
 
Back
Top Bottom