MaishaInshaAllah. Niliwaambia asubuhi mbio mbio kuanzisha uzi wa Yanga wa saa mbili usiku huku wakisahau wana tukio lao saa 10.
Na usishangae ndo ikatoka hiyoo. 🤣 🤣 🤣
Sijakuelewa hata mtani. Ongeza nyama hebu. Teh teh.Maisha
Tunashinda Cha pili mkuuHii mech tutashinda kweli?
Tunawapiga kama ngomaSijakuelewa hata mtani. Ongeza nyama hebu. Teh teh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Malalamiko ya kijinga hayaAzam nawaona mara nyingi hawatoi replay kama kuna tukio la penati halafu refa hajatoa. Waache ukuda Simba inawaingizia pesa nyingi sana.
kwa mpira upiSimba wanapiga comeback. FT 1-1
Na nyie laleni hamjazuiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]45+2' Kuelekea kuwa mapumziko
Wameanza kulala kama Waarabu
Wanapiga mbele lakini Simba wanaokoa
Naaam mpira ni mapumziko ambapo Singida Big Stars wapo mbele ya bao moja dhidi ya Simba SC
Bado aiseDuuuh nilikua msibani hawajarudisha Lunyasi?
Unatoka kwenye msiba unakuja kumalizia msiba mwingine hapa Singidani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duuuh nilikua msibani hawajarudisha Lunyasi?